Kazi za Dr Slaa Kusini zawasisimua wengi

Watu kama slaa ndio wanaotakiwa cdm.wanashiriki na kujitoa kwa moyo wote kwenye kukijenga chama.hutawahi kuwasikia hata sikumoja wanamalumbano ndani ya chama.ndio viongozi wa kweli jamani.tofauti na wale jamaa wengine ambao wakati akina slaa wanashinda njaa kwa kukosa muda wa kula kutokana na kazi za uenezi za kichama,wao wako busy kwenye mitandao ya twitter,facebook na Blogs kibao wakijisifia na kuusaka uenyekiti wa chama au nafasi ya kugombea uraisi.wako busy kutuma watu wakuwatumia kuwapigia debe.wenzao wanajenga chama wakati wao wanavizia chama kinakua then wao ndio waongoze na kupata credits wasizostahili.kwa anayefikiria ni lazima uwe mwenyekiti wa chama ili upiganie wananchi au ujenge chama ni mjinga,mzembe na mvivu.wako kutaka uongozi tu ili wazidi kujinufaisha wenyewe.wanajidai na kigezo cha demokrasia as if wanaelewa maana kamili ya demokrasia.DEMOCRACY my ass!kwa wao demokrasia inatumika pale tu wanapotaka kugombea uongozi ndani ya chama.chadema ingekuwa haina viongozi strong kama mbowe na slaa nawahakikishieni kwamba kisingekuwepo na nguvu mpaka sasahivi.viongozi walio loyal na chama wanaonekana wazi kabisa,jinsi wanavyoshiriki kikamilifu kila hatua kwenye kukiimarisha chama.kila leo wako kwenye kazi za kichama.huwezi pia kuwasikia wakianzisha malumbano ya kijinga ndani ya chama.viongozi wakuogopwa ni wale ambao wamejitenga na wenzao,hawashiriki kwa dhati shughuli za kichama,kila leo wanamatatizo na viongozi wenzao,kila leo kazi yao ni kulalamika kwamba wanaonewa,wako busy kwenye mitandao kupost topics za kujisifu wao tu na wala sio chama chao.always wanajifanya wao ndio bora zaidikuliko wengine,hawana team work kwasababu ni wabinafsi.tukiwa na mwenyekiti wa chama au raisi kama hawa watatusaidia nini?be blessed!
 
Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa ameelezwa kuwa mpiganaji asiyechoka kutokana na kazi kubwa anayofanya huko kusini tangu CDM ianze operesheni Okoa Kusini wiki moja iliyopita.

Taarifa kamili zinasema Dr Slaa amekuwa akihutubia mikutano mitatu kila siku ambapo kwa siku zote hali chakula chochote mchana kutokana na kubanwa na muda.

Baada ya mikutano Dr Slaa anaongoza mikutano ya ndani mpaka saa 6 usiku na kisha anakuwa wa kwanza kuamka na kuwaamsha vijana wake waanze siku nyingine ya mapambano.

Imedaiwa pia kabla ya kila mkutano Dr Slaa anazindua matawi katika mitaa yote ya eneo husika.

Source: Kamanda Mwesilwa Perfect aliyeko kikosi kinachoongozwa na Dr Slaa katika operesheni okoa kusini.

Pamoja kamanda wa ukweli pande hizi pipoz wafanyi mazoezi mpaka waende Arusha
 
Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa ameelezwa kuwa mpiganaji asiyechoka kutokana na kazi kubwa anayofanya huko kusini tangu CDM ianze operesheni Okoa Kusini wiki moja iliyopita.

Taarifa kamili zinasema Dr Slaa amekuwa akihutubia mikutano mitatu kila siku ambapo kwa siku zote hali chakula chochote mchana kutokana na kubanwa na muda.

Baada ya mikutano Dr Slaa anaongoza mikutano ya ndani mpaka saa 6 usiku na kisha anakuwa wa kwanza kuamka na kuwaamsha vijana wake waanze siku nyingine ya mapambano.

Imedaiwa pia kabla ya kila mkutano Dr Slaa anazindua matawi katika mitaa yote ya eneo husika.

Source: Kamanda Mwesilwa Perfect aliyeko kikosi kinachoongozwa na Dr Slaa katika operesheni okoa kusini.

Pamoja kamanda wa ukweli pande hizi pipoz hawafanyi mazoezi mpaka waende Arusha
 
Watu kama slaa ndio wanaotakiwa cdm.wanashiriki na kujitoa kwa moyo wote kwenye kukijenga chama.hutawahi kuwasikia hata sikumoja wanamalumbano ndani ya chama.ndio viongozi wa kweli jamani.tofauti na wale jamaa wengine ambao wakati akina slaa wanashinda njaa kwa kukosa muda wa kula kutokana na kazi za uenezi za kichama,wao wako busy kwenye mitandao ya twitter,facebook na Blogs kibao wakijisifia na kuusaka uenyekiti wa chama au nafasi ya kugombea uraisi.wako busy kutuma watu wakuwatumia kuwapigia debe.wenzao wanajenga chama wakati wao wanavizia chama kinakua then wao ndio waongoze na kupata credits wasizostahili.kwa anayefikiria ni lazima uwe mwenyekiti wa chama ili upiganie wananchi au ujenge chama ni mjinga,mzembe na mvivu.wako kutaka uongozi tu ili wazidi kujinufaisha wenyewe.wanajidai na kigezo cha demokrasia as if wanaelewa maana kamili ya demokrasia.DEMOCRACY my ass!kwa wao demokrasia inatumika pale tu wanapotaka kugombea uongozi ndani ya chama.chadema ingekuwa haina viongozi strong kama mbowe na slaa nawahakikishieni kwamba kisingekuwepo na nguvu mpaka sasahivi.viongozi walio loyal na chama wanaonekana wazi kabisa,jinsi wanavyoshiriki kikamilifu kila hatua kwenye kukiimarisha chama.kila leo wako kwenye kazi za kichama.huwezi pia kuwasikia wakianzisha malumbano ya kijinga ndani ya chama.viongozi wakuogopwa ni wale ambao wamejitenga na wenzao,hawashiriki kwa dhati shughuli za kichama,kila leo wanamatatizo na viongozi wenzao,kila leo kazi yao ni kulalamika kwamba wanaonewa,wako busy kwenye mitandao kupost topics za kujisifu wao tu na wala sio chama chao.always wanajifanya wao ndio bora zaidikuliko wengine,hawana team work kwasababu ni wabinafsi.tukiwa na mwenyekiti wa chama au raisi kama hawa watatusaidia nini?be blessed!

Mkuu hakika umelipuka naamini Shibuda amepata ujumbe kwa sababu nasikia anashindaga humu JF
 
KWA REHEMA ZA MWENYEZI MUNGU....
DR. SLAA NA UZIDISHIWE ZAIDI NA ZAIDI....
WEWE NDIO HAZINA PEKEE YA TANZANIA...

Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke!!!
 
Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa ameelezwa kuwa mpiganaji asiyechoka kutokana na kazi kubwa anayofanya huko kusini tangu CDM ianze operesheni Okoa Kusini wiki moja iliyopita.

Taarifa kamili zinasema Dr Slaa amekuwa akihutubia mikutano mitatu kila siku ambapo kwa siku zote hali chakula chochote mchana kutokana na kubanwa na muda.

Baada ya mikutano Dr Slaa anaongoza mikutano ya ndani mpaka saa 6 usiku na kisha anakuwa wa kwanza kuamka na kuwaamsha vijana wake waanze siku nyingine ya mapambano.

Imedaiwa pia kabla ya kila mkutano Dr Slaa anazindua matawi katika mitaa yote ya eneo husika.

Source: Kamanda Mwesilwa Perfect aliyeko kikosi kinachoongozwa na Dr Slaa katika operesheni okoa kusini.

The Father of the nation after Nyerere is my hon beloved President Dr slaa.
 
Katibu mkuu wa CDM Dr Wilbroad Slaa ameelezwa kuwa mpiganaji asiyechoka kutokana na kazi kubwa anayofanya huko kusini tangu CDM ianze operesheni Okoa Kusini wiki moja iliyopita.

Taarifa kamili zinasema Dr Slaa amekuwa akihutubia mikutano mitatu kila siku ambapo kwa siku zote hali chakula chochote mchana kutokana na kubanwa na muda.

Baada ya mikutano Dr Slaa anaongoza mikutano ya ndani mpaka saa 6 usiku na kisha anakuwa wa kwanza kuamka na kuwaamsha vijana wake waanze siku nyingine ya mapambano.

Imedaiwa pia kabla ya kila mkutano Dr Slaa anazindua matawi katika mitaa yote ya eneo husika.

Source: Kamanda Mwesilwa Perfect aliyeko kikosi kinachoongozwa na Dr Slaa katika operesheni okoa kusini.

halafu nashangaa baadhi ya magamba kuhoji mbona anazeeka, huyo ndie kiongozi si huyo wa magamba ambao wanatanguliza vitambi na kupanda pipa kila kukicha
 
Habari nzuri sana hizi.
Yule mgambo wa kampeni mpya ya 'VUA GAMBA,VUA GWANDA VAA UZALENDO' hasikiki kabisa ,sijui anapatikana eneo gani la Jamuhuri ya Muunngano!!!
 
Ni jembe kweli, sasa kazi imeanza. Nafoikiri CCm watajinnyonga. Nimewasikia asubuhi Vijana ndo wanaamka ya kuwa Budget ya mwaka huu iseme kiasi gani itaennda kwa vijabna,, Walikuwa wapi siku zote.
 
Slaa ndo raisi tuliyemchagua... Tupo nyuma yake mpaka kieleweke. Aliyejipeleka magogoni atasoma ramani
 
Lazima Ukisotee kitu ili hata ukipewa uwe Na uchungu nacho..

CCM imeangukia PUA.. Kila kona .. Kila mtaa.. Kila mji..
 
Back
Top Bottom