Ahsante mkuu kwa taarifa. Isipokuwa kwa sifa wanazohitaji za waombaji kuwa Ma-Professor na kwamba wenye Masters (wanaweza kufikiriwa) itakuwa ngumu kuwapata kwani wako wachache katika nchi hii.
nafikiri hapo kwenye bold ulikuwa unamaanisha "lini" au siyo?
ila kulingana na sifa wanazotaka, nadhani hakuna deadline. unaweza ku-apply muda wowote unaotaka. mimi nita-apply ingawa nitakuwa available baadaye kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.