Mimi ni kijana kama Nape na Zitto hivyo siwasemi kwa ubaya bali ukweli tu.
Kwa nchi yetu kuwa na viongozi wazuri ni lazima tuwe na viongozi wenye uzoefu wa maisha ya Watanzania. Hii ni pamoja na kufanya kazi za kawaida na si siasa tu. Hawa jamaa mimi navyofahamu hawajawahi kufanya kazi za kawaida na maisha yao sasa wanafikiria siasa ndiyo kitengo chao cha kazi.
Nape ni mfano nzuri hana kazi na anategemea CCM tu kuishi. Hivyo huyu kijana atasema lolote kisiasa kwasababu hana uwezo wa kufanya kitu kingine na anategemea siasa tu. Miaka yote amekulia baba yake ni mwana CCM na yeye hajui lingine ni CCM tu. Kuleta maendeleo tunataka vijana walio na uzoefu wa maisha na kufanya kazi za kawaida na kujua Mtanzania wa kawaida anaishi vipi na ni jinsi gani ya kumsaidia. Hawa jamaa wanachojua na uhodari wa kuongea na mimi si dhani kama ni kitu kizuri kimaendeleo. Nchi yetu imekuwa na wanasiasa wengi sana ambao wanategemea siasa kwa maisha yao yote.
Kwa nchi yetu kuwa na viongozi wazuri ni lazima tuwe na viongozi wenye uzoefu wa maisha ya Watanzania. Hii ni pamoja na kufanya kazi za kawaida na si siasa tu. Hawa jamaa mimi navyofahamu hawajawahi kufanya kazi za kawaida na maisha yao sasa wanafikiria siasa ndiyo kitengo chao cha kazi.
Nape ni mfano nzuri hana kazi na anategemea CCM tu kuishi. Hivyo huyu kijana atasema lolote kisiasa kwasababu hana uwezo wa kufanya kitu kingine na anategemea siasa tu. Miaka yote amekulia baba yake ni mwana CCM na yeye hajui lingine ni CCM tu. Kuleta maendeleo tunataka vijana walio na uzoefu wa maisha na kufanya kazi za kawaida na kujua Mtanzania wa kawaida anaishi vipi na ni jinsi gani ya kumsaidia. Hawa jamaa wanachojua na uhodari wa kuongea na mimi si dhani kama ni kitu kizuri kimaendeleo. Nchi yetu imekuwa na wanasiasa wengi sana ambao wanategemea siasa kwa maisha yao yote.