Kazi ya uwanasiasa! Nape na Zitto hawana uzoefu wa maisha ya Watanzania

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,598
8,738
Mimi ni kijana kama Nape na Zitto hivyo siwasemi kwa ubaya bali ukweli tu.

Kwa nchi yetu kuwa na viongozi wazuri ni lazima tuwe na viongozi wenye uzoefu wa maisha ya Watanzania. Hii ni pamoja na kufanya kazi za kawaida na si siasa tu. Hawa jamaa mimi navyofahamu hawajawahi kufanya kazi za kawaida na maisha yao sasa wanafikiria siasa ndiyo kitengo chao cha kazi.

Nape ni mfano nzuri hana kazi na anategemea CCM tu kuishi. Hivyo huyu kijana atasema lolote kisiasa kwasababu hana uwezo wa kufanya kitu kingine na anategemea siasa tu. Miaka yote amekulia baba yake ni mwana CCM na yeye hajui lingine ni CCM tu. Kuleta maendeleo tunataka vijana walio na uzoefu wa maisha na kufanya kazi za kawaida na kujua Mtanzania wa kawaida anaishi vipi na ni jinsi gani ya kumsaidia. Hawa jamaa wanachojua na uhodari wa kuongea na mimi si dhani kama ni kitu kizuri kimaendeleo. Nchi yetu imekuwa na wanasiasa wengi sana ambao wanategemea siasa kwa maisha yao yote.
 
Hivi Zitto anaingiaje hapa?
Nape ni crap to be.
Zitto ameshaanza kurudi kwenye form yake makali yanaanza kushika kasi
 
Lakini wana bahati mbaya sana,manake siasa sio isue ya kutegemea!!ndo maana zito kakimbia kununua hummer!!!aghhhhhhhhhhhh
 
Mimi ni kijana kama Nape na Zitto hivyo siwasemi kwa ubaya bali ukweli tu.

Kwa nchi yetu kuwa na viongozi wazuri ni lazima tuwe na viongozi wenye uzoefu wa maisha ya Watanzania. Hii ni pamoja na kufanya kazi za kawaida na si siasa tu. Hawa jamaa mimi navyofahamu hawajawahi kufanya kazi za kawaida na maisha yao sasa wanafikiria siasa ndiyo kitengo chao cha kazi.

Nape ni mfano nzuri hana kazi na anategemea CCM tu kuishi. Hivyo huyu kijana atasema lolote kisiasa kwasababu hana uwezo wa kufanya kitu kingine na anategemea siasa tu. Miaka yote amekulia baba yake ni mwana CCM na yeye hajui lingine ni CCM tu. Kuleta maendeleo tunataka vijana walio na uzoefu wa maisha na kufanya kazi za kawaida na kujua Mtanzania wa kawaida anaishi vipi na ni jinsi gani ya kumsaidia. Hawa jamaa wanachojua na uhodari wa kuongea na mimi si dhani kama ni kitu kizuri kimaendeleo. Nchi yetu imekuwa na wanasiasa wengi sana ambao wanategemea siasa kwa maisha yao yote.

zitto amekuwa kiongozi wa wanakigoma kwa miaka 10 sasa.

muambieni huyo nape aliyepewa kazi ya kuwa karibu na wanancnhi (mkuu wa wilaya masasi), lakini hata mwaka hajamaliza karudi kupiga matarumbeta kama tambwe hiza.
 
Mimi ni kijana kama Nape na Zitto hivyo siwasemi kwa ubaya bali ukweli tu.

Kwa nchi yetu kuwa na viongozi wazuri ni lazima tuwe na viongozi wenye uzoefu wa maisha ya Watanzania. Hii ni pamoja na kufanya kazi za kawaida na si siasa tu. Hawa jamaa mimi navyofahamu hawajawahi kufanya kazi za kawaida na maisha yao sasa wanafikiria siasa ndiyo kitengo chao cha kazi.

Nape ni mfano nzuri hana kazi na anategemea CCM tu kuishi. Hivyo huyu kijana atasema lolote kisiasa kwasababu hana uwezo wa kufanya kitu kingine na anategemea siasa tu. Miaka yote amekulia baba yake ni mwana CCM na yeye hajui lingine ni CCM tu. Kuleta maendeleo tunataka vijana walio na uzoefu wa maisha na kufanya kazi za kawaida na kujua Mtanzania wa kawaida anaishi vipi na ni jinsi gani ya kumsaidia. Hawa jamaa wanachojua na uhodari wa kuongea na mimi si dhani kama ni kitu kizuri kimaendeleo. Nchi yetu imekuwa na wanasiasa wengi sana ambao wanategemea siasa kwa maisha yao yote.

Kufananisha Nape na Zitto ni Sawa sawa na Kufananisha Mlima Kilimanjaro na Kichuguu. Zitto yuko kwa Maslahi ya Umma
 
kumlinganisha zitto n nape ni kama kulinganisha mchicha(nnape) na mbuyu(zitto)
 
kumlinganisha zitto n nape ni kama kulinganisha mchicha(nnape) na mbuyu(zitto)

Tujaribu kuelewa maudhui ya habari hapa. Anatueleza uzoefu wa maisha katika maisha ya kawaida ya mtanzania yanamjenga mtu kuwa kiongozi mwelewa vizuri na kujenga uvumilivu wa maisha katika kuongoza watu.
Wengi wa vijana wasiokuwa na msingi wa maisha ya kila siku na kufanya jitihada za kupambana na misukosuko ya maisha huwa wanakuwa na fikra za kufikiria kupaa haraka bila kuweka msingi wa maisha na uongozi. Uzoefu wa maisha ni tija kubwa katika uongozi. Nimemwelewa sana mtoa mada hapa. Sote tu mashuhuda, tusishabikie tu bila kupima mambo kwa undani
 
Back
Top Bottom