Kazi ya Ubaharia

Chapakazi

JF-Expert Member
Apr 19, 2009
2,874
310
Jamani wakuu...ivi kazi ya ubaharia ni nini hasa? Huyu Willy naona anajisifia kuwa ni baharia. Je ni kazi gani hasa hiyo?
 
Jamani wakuu...ivi kazi ya ubaharia ni nini hasa? Huyu Willy naona anajisifia kuwa ni baharia. Je ni kazi gani hasa hiyo?

Ni kazi ya melini, yaani kufanya kazi kwenye meli inayosafiri, kuanzia kusongesha chombo, ufundi, upishi na nyinginezo. Back in time, kuwa baharia ilikuwa ndoto ya vijana wengi wa Dar, na baharia alikuwa mjanja kwelikweli kwani walisafiri nchi nyingi duniani.
Huyo Wile anadhani bado tuko enzi zile...
 
Ni kazi ya melini, yaani kufanya kazi kwenye meli inayosafiri, kuanzia kusongesha chombo, ufundi, upishi na nyinginezo. Back in time, kuwa baharia ilikuwa ndoto ya vijana wengi wa Dar, na baharia alikuwa mjanja kwelikweli kwani walisafiri nchi nyingi duniani.
Huyo Wile anadhani bado tuko enzi zile...

Hii kazi inahitaji elimu yeyote? Maana nasikia jamaa kaenda kusomea ubelgiji?hahaha
 
Dar es salaam Marine Institute ndio wanaondesha Course za ubaharia hapa Tanzania,Wapo karibu na wanapopandia Boti ziendazo Zanzibar kwa wachoma makanisa
 
Back
Top Bottom