MJIMPYA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 506
- 272
WAKUU,
natafuta kijana mwenye uzoefu wa kufanya kazi za stationery ikiwa ni pamoja na kutumia machine kama compyuta, photocopy, kubind, kutype na shughuli zote kama hizo. Pia ajue kiingereza na walau awe amemaliza form iv
Ni kibanda kidogo na kipo maeneo ya Yombo (DSM). Kama kuna mwombani anayeishi maeneo hayo na anaweza hii kazi ani PM tufanye mazungumzo.
karibuni
natafuta kijana mwenye uzoefu wa kufanya kazi za stationery ikiwa ni pamoja na kutumia machine kama compyuta, photocopy, kubind, kutype na shughuli zote kama hizo. Pia ajue kiingereza na walau awe amemaliza form iv
Ni kibanda kidogo na kipo maeneo ya Yombo (DSM). Kama kuna mwombani anayeishi maeneo hayo na anaweza hii kazi ani PM tufanye mazungumzo.
karibuni