vp wakuu mliopo arusha mjini hiyo nafasi ya sensa vp, wameshatoa majina.?
Usa-river wamelitoa majina jana, vip kuhusu Arusha mjini wakuu?
hahaaaa nani akupigie simu kama kuyaweka tuu imekuwa nongwakwenye form si kuna namba zako utapigiwa simu usiogope
Majina yameshatoka nendeni manispaa kuangalia