Elections 2010 Kazi ya Mashushushu si Kuhujumu Uchaguzi

Status
Not open for further replies.
Unajua ni vigumu sana kumuelewa mtu iwapo umeshamhukumu in a certain way.Ukishajenga dhana kuwa hoja za mwandishi ni baseless basi unakuwa umejijengea ukuta utaokwaza kuelewa chapisho husika.

Halafu,kwa taarifa yako,uandishi wa makala sio kazi nyepesi kama unavyofikiria especially mada katika makala husika ni ya kiufundi zaidi kuliko kitaaluma (more technical than academic).Ni vigumu zaidi iwapo mada husika inamlazimu mwandishi kuwa makini ili asije vunja sheria flani na wahusika wakapata sababu ya kumkalia kooni.Hivi,kwa uelewa wako Mr Much Know,could you draw a clear line that separates facts za kusapoti hoja zilizomo kwenye makala and uvunjifu wa sheria (dhalimu) ya Siri za Taifa?Hili ni eneo delicate sana just like mwandishi anapotaka kuandika kuhusu suala ambalo tayari liko mahakamani.Asipoandika kwa undani ataambiwa hoja zake baseless.Akiingia kwa undani anahatarisha kuvuruga mwenendo wa kesi.

Mie sio mwandishi wa habari by profession.I simply am someone who loves writing.And out of my passion for writing emerged a desire to share my ideas,stories,reflections,perspectives,etc in the form of newspaper articles.My rule of thumb is never to discuss something I know nothing about.If I feel the need to,I would then take as considerably much time as possible to acclamatise myself with the theme I intend to write about but possess limited or no knowledge at all about it.

That's not only writing with passion but also making an article more informative.Back in the days my firends and I used to cut news clips from the good old RAI ( sio hili la sasa la kifisadi) because most of its articles were full of stuffs that we as students by then found it quite relevant to our studies.

Anyway,baada ya kujadili udhaifu na mapungufu ya mwandishi,je unaweza kutupa jibu la swali la msingi kama inawezekana mashushushu kutumiwa na CCM kuchakachua kura ktk uchaguzi mkuu ujao?Hilo ndilo swali lililopelekea niandike makala husika,na wala makala haikuwa inahusu wasifu wangu.Jibu please!

I have to be honest with you here. Article yako ina flaws nyingi and it appears that you did not even do a basic research before wrting. I am sorry if you take this personally but the reason for you putting it here is for us to debate it. Please do not write an article and expect that everyone will agree 100% with your opinion. Everyone is entitled to his/her own opinion. And, I do not think is fair, just and reasonable to class me into a certain group which you don't like simply because I differ with your opinion. That is not a way of responding to criticisms but a way of trying avoid them by seeking sympathy from others who don't like the group you don't like.

When I say that you article has flaws it is my own opinion and not opinion of a certain group you don't like. Kwa mfano katika aya ya 11 ya article yako unasema "Kwa nchi kama Marekani au hapa Uingereza, viongozi wa taasisi za intelijensia huitwa kwenye kamati za bunge kujibu maswali ‘ya umma’ au kutoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na usalama wa mataifa hayo." Pia kwenye paragraphy ya 16 unasema: Vilevile, katika baadhi ya nchi, kwa mfano Marekani na hapa Uingereza, kamati za bunge zinazoshughulikia masuala ya usalama zina nguvu kubwa na mamlaka ya kuwaita viongozi wakuu wa idara za intelijensia panapokuwa na umuhimu wa kufanya hivyo. Naamini kamati ya Usalama ya Bunge letu ina mamlaka hiyo pia lakini ni rahisi zaidi kugema damu kwenye jiwe kuliko uwezekano wa kamati hiyo kuwaita viongozi wa Idara yetu ya Usalama wa Taifa! Sijui tatizo ni uoga au kutojua majukumu yao.

Kwanza unasema "Naamini kamati ya Usalama ya Bunge letu ina mamlaka hiyo." Unaamini? Nini kimekufanya uamini hivyo? Instead of assuming why don't you just do a little basic research to find out if our bunge has similar powers ?

Pili, you argued that without even considering the different systems of administrations in those countries and Tanzania. Kwa mfano, Uingereza wanafuata parlimentary system ambapo idara hizi zinakuwa responsible to the parliament. Viongozi wengi wa hizi idara lazima wawe approved by the parliament. Ndio maana unaona bunge huko Uingerezea linakuwa so active sana kuhoji viongozi wa idara hizi because under parliamentary system they are entitled by their supreme law to do so.

Hapa Tanzania tunafuata presidential system ambapo rais ndie mwenye mamlaka ya mwisho na ambapo hizi idara zinakuwa answerable to the president na wakuu wa idara hizi wakakuwa appointed by the president. So your comparison cannot be maintained whatsoever because of the systems and laws in which in which these crucial departments operate in the respective countries. The problem with you is that because you have studied and you have knowledge of the theories of international security, you think that they apply mutatis mutandis to all countires. National circumstances must also be taken into account when applying international principles, practices, policies, etc.
 
Tatizo lako umejimilikisha jukumu la fikra za umma.Kwamba kama wewe huamini basi umma nao hauamini.Kuwa na msimamo ni jambo zuri.Ila kuwa na msimamo kwenye jambo la kipuuzi ni sawa na upuuzi pia.

Kuna watu wanalalamika kuwa JF inapendelea Chadema na kuichukia CCM.Wanachosahau ni ukweli kuwa katika mazingira ya kawaida,people have got a lot to gain kuisapoti CCM kuliko Chadema.Ukisapoti CCM utabebwa na lori kwenda mkutanoni.Ukikurupuka na ndoto zako za ajabu kuikashifu Chadema utapewa front page coverage na Habari Leo au Daily News.Ukisapoti CCM utawezeshwa kukwepa kodi,na uhalifu mwingine kama huo.So why would people risk supporting Chadema?Inahitaji busara tu kutambua kuwa WATU WAMECHOSHWA.

Unaweza kuandika makala ndeeefu kutetea kisichoweza kutetewa.Wenye akili zao hawahitaji malumbano kubaini nani fisadi,nani mlezi wa mafisadi,nani anatumia fedha za umma kwa maslahi ya mafisadi,nk.Baki na mtizamo wako,haitomwathiri mtu mwingine.

Kuhusu jibu la swali nililouliza kwenye makala yangu,itachukua karne nzima kukufahamisha dhima ya makala hiyo.Unfortunately,hiyo si kazi yangu au ya mwandishi yeyote ile ya makala.Ukisoma kitu na hukukielewa au kutokipenda una uchaguzi wa kuachana nacho au kuamini tofauti na mwandishi.Hakuna mwandishi anayemshikia bastola msomaji ili akubaliane na alichoandika.Haimnyimi usingizi mwandishi iwapo wasomaji watapatwa kichefuchefu na alichoandika,as long as maandishi hayo si matusi,kashfa au uhaini.Similarly,hainisumbui kuona umeng'ang'ania kutaka kujua naielewaje Idara ya Usalama wa Taifa.That's your own problem.

Aliyeelewa kilichoandikwa ameelewa.Asiyetaka kuelewa kama wewe...well,there's nothing Raia Mwema and I could do to help.Amini unachoamini kwa vile hakuna anayejaribu kukuaminisha tofauti na uelewa wako.

I liked this one: Haimnyimi usingizi mwandishi iwapo wasomaji watapatwa kichefuchefu na alichoandika,as long as maandishi hayo si matusi,kashfa au uhaini.
So why you lashed at me F words then? Kwa nini usingelala usingizi without swearing? Labada ulipata kichefuchefu na response yangu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom