Acha Dhambi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 145
- 41
natafuta kazi ya kufundisha iwe ya muda au ya kudumu nimesomea digrii ya elimu (BED psychology)
Sio lazima uajiriwe Mkuu! Njo kesho Dagoni (bandari ya wavuvi wadogo) msasani beach nyuma ya Ofisi za Tanesco nikufundishe uvuvi huku ukisubiri hiyo ajira ya kisomo.natafuta kazi ya kufundisha iwe ya muda au ya kudumu nimesomea digrii ya elimu (BED psychology) mawasiano ni 0769431643
khaaaaah!!Sio lazima uajiriwe Mkuu! Njo kesho Dagoni (bandari ya wavuvi wadogo) msasani beach nyuma ya Ofisi za Tanesco nikufundishe uvuvi huku ukisubiri hiyo ajira ya kisomo.
niko tayari ukiniwezesha kwa naulije uko tayari kufundisha shule ya kata...na kwenda mkoa wowote?
halahal watoto wetu wa kike huko uendako kijana!!natafuta kazi ya kufundisha iwe ya muda au ya kudumu nimesomea digrii ya elimu (BED psychology) mawasiano ni 0769431643
Mkuu mwenyewe nimeanza kukumisi huko,then hii gvt ya ajabu kweli yaani wanafunzi wanataabika hakuna walimu sisi tumemaliza Udom juzi tupo tu kitaa tuu any way ngoja tuone itakuajeHujasema uko wapi mzee wa BED! Utaimiss Ng'ong'ona!
Mkuu huu ni usaini tuu hakuna kitu kama hicho,sijui wataajili lini then mwenye taarifa wanaajili lini atupe news wajameniHvi c nilickia nyie wa2 wa education mnaajiriwa direct,au na nyie hamna tofaut na ce wa bcom?