Wazee wamenyimwa kuongezewa muda nini, mbona nafasi nyingi namna hii.!!!!
mkono mtupu haulambwi...gonga kitufe kile mkuu....thanks
we andika barua tuma tu wakati huo ukiendelea kuuza machungwa yako. kazi haziji kama mkungu wa ndizi unavyodondoka...ipo siku na wewe utatoka tu....nyingi ukimaanisha ni zaidi ya moja au?
mkuuu unajua idadi ya watanzania waliosoma wapo mtaani wanauza machungwa na vyeti vyao au, izo kazi ni sehemu kidogo sana, hazimalizi hata watoto wa wakubwa ambao mpaka sa ivi walikuwa wanazisubiria,
mgongee kile kitufe pale kulia kwako!Asante sana kwa taarifa ya kazi mkuu, ngoja tujaribu bahati zetu
Mkuu tuma tena mbona hazifunguki?Haya wadau nafasi hizo wenye sifa tujitose hapo.
selection bodies are totally corruptmkuu ongera sana kwa kutujulisha wanachama wenzio wa jf kwa hizi vacancies tutajaribu bahati maana hizi nafasi za serikarin kuzipata isssue yaani hata kama unasifa!nitakupa mfano halisi ambao umetukuta vijana kama watatu ambao tumemaliza mwaka jana chuo kikuu cha dar es salaam katikafani ya jiolojia(geology) kam miezi 3 imepita chuo kikuu cha dodoma kilitangaza nafasi za tutors na wakataka at least mtu awe na gpa ya 3.8 or above lakini cha kushangaza tuliomba wengi na majina walioitwa kwenye interview hawana sifa hiyo na tukaachwa ambao tulifanya vzr zaidi ya hiyo grade!kwani wote waliotwa tunawafahamu na walikuwa hawajafikisha hiyo grade,je kwa mtindo huu tutafika hasa ukizingatia ni sehemu nyeti kama hii ambayo tunategema kuzalisha wasomi wakalete ushindani ktk ajira internationally?
ni kweli mkuu!sasa tufanye nini ili kupambana na huu ufisadi?selection bodies are totally corrupt
mkuu ongera sana kwa kutujulisha wanachama wenzio wa JF kwa hizi vacancies tutajaribu bahati maana hizi nafasi za serikarin kuzipata isssue yaani hata kama unasifa!nitakupa mfano halisi ambao umetukuta vijana kama watatu ambao tumemaliza mwaka jana chuo kikuu cha Dar es salaam katikafani ya jiolojia(Geology) kam miezi 3 imepita Chuo Kikuu cha Dodoma kilitangaza nafasi za tutors na wakataka at least mtu awe na GPA ya 3.8 or above lakini cha kushangaza tuliomba wengi na majina walioitwa kwenye interview hawana sifa hiyo na tukaachwa ambao tulifanya vzr zaidi ya hiyo grade!kwani wote waliotwa tunawafahamu na walikuwa hawajafikisha hiyo grade,je kwa mtindo huu tutafika hasa ukizingatia ni sehemu nyeti kama hii ambayo tunategema kuzalisha wasomi wakalete ushindani ktk ajira internationally?
Kazi bwana serikalini mara chache sana wanafuata vigezo.