Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Kwa wanaofuatilia siri zinazoendelea kufichuliwa na mtandao wa wikileaks hasa zikionesha ripoti zinazotumwa na mabalozi wa marekani waliopo katika nchi za kigeni kwa nchi yao,wataklubalina na mimi kuwa mbali na kuwa baadhi ya siri ni ukweli,uongo au nyingine kuwa za chumvi lakini zinaacha funzo MOJA KUBWA kuwa mabalozi hao wanafanya kazi kubwa ya kuhakikisha nchi yao inaielewa vilivyo nchi mabalozi hao walipo.
SWALI:Je kazi kama hiyo inagfanya pia na mabalozi wetu walioko katika nchi za kigeni? au waop wanafanya diplomasia tu.TUJADILI
SWALI:Je kazi kama hiyo inagfanya pia na mabalozi wetu walioko katika nchi za kigeni? au waop wanafanya diplomasia tu.TUJADILI