Mkubwa mimi binafsi nashukuru kwa kuiweka kazi hadharani. Ni jana tu niliwapa CV na nimetakiwa nijipange nikamuone mtoa kazi yaani nimealikwa interview. Nitawasihi wadau wengine wajaribu wasiwe na fikra potofu ya kuwa kila kazi ina undugunisation ni kujaribu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.