Kazi Quality Group

Mkubwa mimi binafsi nashukuru kwa kuiweka kazi hadharani. Ni jana tu niliwapa CV na nimetakiwa nijipange nikamuone mtoa kazi yaani nimealikwa interview. Nitawasihi wadau wengine wajaribu wasiwe na fikra potofu ya kuwa kila kazi ina undugunisation ni kujaribu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom