Al maarufu kama green vest ya kijani teh teh Eagle Coy...........Na Vest nayo inanikumbusha enzi za JKT miaka hiyo
nimemuuliza kasema hana mke!Pamoja na kuonekana kua ni mbabe na hiyo sura lakini inawezekana akifika kwa my wife wake anatumwa chunvi dukani!
Ndo avae vest iliyochakaa kiasi hiko kisa amjeshi?