Kazi pekee inayomfaa

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
294005_10150336481626997_581716996_8511287_1552110926_n.jpg
 
Suppose anakaa getini huyu M'baba, unategemea ataruhusu mtu kupita kumwona bosi?
 
Duh balaa hapo
Kuna watu wana sura ila hii kiboko
Hapa mtoto kama hataki kula ni tishio tosha
 
duh wazee ukipata mlinzi kama huyu yani hata ukija mwenye nyumba unaweza ukakimbia...!
 
ni kweli anatisha ila kwa "my wife" wake anakuiwa laianiiiiiiii kama unanawa vile!! na hata hiyo sura akielekea pande za huko inabadilikaaa
 
Pamoja na kuonekana kua ni mbabe na hiyo sura lakini inawezekana akifika kwa my wife wake anatumwa chunvi dukani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom