Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Kwanza kauli hii ni kwa niaba ya sisi vijana 20, najua wapo wengine pia.....
Napenda kukupongeza kwa juhudi yako wewe pamoja na wabunge wengine kwa kuipigania haki yetu watu wa hali duni, tunautambua na tunaiona michango yenu wabunge wetu, napenda kuwatia moyo na tunawaambia kuwa tupo nyuma yenu, msiogope, kazi ya ukombozi sio ndogo endeleeni nasi tupo nyuma yenu no matter what!
Napenda kukupongeza kwa juhudi yako wewe pamoja na wabunge wengine kwa kuipigania haki yetu watu wa hali duni, tunautambua na tunaiona michango yenu wabunge wetu, napenda kuwatia moyo na tunawaambia kuwa tupo nyuma yenu, msiogope, kazi ya ukombozi sio ndogo endeleeni nasi tupo nyuma yenu no matter what!