Inashangaza sana! Wanaume wananyanyapaliwa ktk ajira pamoja na age limit. Utakuta wanaandika Coy X is an equal opportunity employer, however Women are encouraged to apply. Na ukiona hivyo athubutu mwanaume ku apply, ataishia kuuza sura tu. Harafu, hii ni nchi pekee ambayo haithamini ajira za wazawa. Secular ya ajira iko wazi kuwa wageni wanaakiriwa ktk nafasi ambazo wenyeji hawaziwezi lakini kuna mameneja wengi wanaajiliwa kwa kazi za kawaida kabisa!