Kazi na mahusiano!

Penny

JF-Expert Member
Sep 3, 2008
575
48
Za leo wandugu wapendwa,

Noamba kuuliza mimi na ki professional cha u saloonisist na mme wangu ni mpenzi sanaaaa wa musiki mpaka kumpelekea kutaka kwenda kuanza kuwa DJ katika kumbi za mziki kama extra ways za kujiongezea kipato. Kwa kweli hili jambo siku liafikiana nalo na nikaongeanaye kwa kumuelekeza kuwa sijambo zuri especially kwa marriade couples. Ok kwa kweli alikubaliana nami ila kwa shingo upande sana. Sasa mimi nami kwa kuwa sina kipata bado cha kunipatia pesa, niliamua kufungua kijisaloon hapahapa home. Ila problem imekuja sasa, marafiki zake wanataka niwatengeneze nywele pia! nilipomwambia kwa kweli amekuwa mkali sana na niliamua kutowatengeneza tena ili kumtii mme wangu. Sasa wana JF nilipenda kupata michango katika haya mambo je yanastahili kufanyika au la.
 
Za leo wandugu wapendwa,

Noamba kuuliza mimi na ki professional cha u saloonisist na mme wangu ni mpenzi sanaaaa wa musiki mpaka kumpelekea kutaka kwenda kuanza kuwa DJ katika kumbi za mziki kama extra ways za kujiongezea kipato. Kwa kweli hili jambo siku liafikiana nalo na nikaongeanaye kwa kumuelekeza kuwa sijambo zuri especially kwa marriade couples. Ok kwa kweli alikubaliana nami ila kwa shingo upande sana. Sasa mimi nami kwa kuwa sina kipata bado cha kunipatia pesa, niliamua kufungua kijisaloon hapahapa home. Ila problem imekuja sasa, marafiki zake wanataka niwatengeneze nywele pia! nilipomwambia kwa kweli amekuwa mkali sana na niliamua kutowatengeneza tena ili kumtii mme wangu. Sasa wana JF nilipenda kupata michango katika haya mambo je yanastahili kufanyika au la.

Kwenye ndoa makubaliano ni muhimu, wewe ulikataa mwenzako asiwe DJ na hivyo na yeye ana kila haki kama mumeo kukataa wewe kuwatengeneza nywele wanaume. Kinyume cha hapo ni mwanzo wa ugomvi.
 
Wote mmekosea, kwa angekua Dj ingekuaje? Kwani ukitengeneza nywele inakuaje? Naona kuna kutoaminiana hapo, hamuwezi kuchungana 24/7 maisha yatakua magumu sana.
 
Kwenye ndoa makubaliano ni muhimu, wewe ulikataa mwenzako asiwe DJ na hivyo na yeye ana kila haki kama mumeo kukataa wewe kuwatengeneza nywele wanaume. Kinyume cha hapo ni mwanzo wa ugomvi.

Asante bubu, ila yeye kaona kuwa langu ndo zito sana ila yeye anaweza kufanya huo u DJ. Ndo maana nikaomba nipate kuchambuliwa katika haya mambo mawili.
 
Wote mmekosea, kwa angekua Dj ingekuaje? Kwani ukitengeneza nywele inakuaje? Naona kuna kutoaminiana hapo, hamuwezi kuchungana 24/7 maisha yatakua magumu sana.

Sawa nashukuri, wote tunamakosa ila la kwangu ndo linaonekana kubwa kwa kuwa nitamshikana kimwili na yule mteja. Na yeye atakuwa anashika ma system na li earphone pekee!
 
Penny, usiwe na bias kwenye mahusiano. Wewe ndio ulilikoroga sasa linywe;ulimkataza akaacha usilotaka, sasa yeye akikukataza kwa nini usiache analotaka?
 
Hehe! Ok naelewa labda kama kuna kushikana. Labda style zangu za nywele simple sana hazina hayo madoido.
 
Ungeigeuza hii story ikaanza yako kwanza...kisha yake..ungepata mawazo mazuri sana..sasa ulivyo anza ndio noma...

Anyway unaweza kaa..nae tena mkaongea..kwa upole na kwa uwazi zaidi..kuaminia kutangulie mbele katika mazungumzo..kama ni U DJ si kuna muda wa kufanya kazi bwana...huwa wanakuwa wawili...so ongea nae yeye aje saa tano na nusu.Na imergence za ghafla hazitakuwa accepted labda atake ndoa ife.

Vivyo hivyo na wewe kama una saloon ya unisex..weka mhudumu kuongeza kipato kwenye jamii...wewe tu kila kitu...hiyo kazi ya kushika wanaume...achia mdada na wewe unakuwa overall in charge wa shughuli nzima.Saa mbili saloon imefungwa uko nyumbani.
Unafanya kazi za nyumbani na kumuandalia mumeo hifadhi...Hapa u serious unahitajika sana...kwa kweli vinginevyo ndoa itavunjika....

Mshikaji wangu mmoja alimfungilia saloon mkewe ubungo...baada ya mida ya kufunga kuzidi kuongezeka....kisa kuwa wateja wengi...ilibidi kufunga saloo...see that

Best wishes
 
Penny, usiwe na bias kwenye mahusiano. Wewe ndio ulilikoroga sasa linywe;ulimkataza akaacha usilotaka, sasa yeye akikukataza kwa nini usiache analotaka?

Asante Mama, ila bias ndo nini! kimombo changu ni cha juu juu mama angu weee! sio eti nimekataa nimekubali kabisa na nimesikiliza. Ila yeye ndo bado anakijiba cha roho kuwa ana right ya kufanya huo uDJ. Kwa hiyo mimi niwe wivu sina ila roho inauma mama aah (as said by wazee wa ngwasuma) au!
 
Ungeigeuza hii story ikaanza yako kwanza...kisha yake..ungepata mawazo mazuri sana..sasa ulivyo anza ndio noma...

Anyway unaweza kaa..nae tena mkaongea..kwa upole na kwa uwazi zaidi..kuaminia kutangulie mbele katika mazungumzo..kama ni U DJ si kuna muda wa kufanya kazi bwana...huwa wanakuwa wawili...so ongea nae yeye aje saa tano na nusu.Na imergence za ghafla hazitakuwa accepted labda atake ndoa ife.

Vivyo hivyo na wewe kama una saloon ya unisex..weka mhudumu kuongeza kipato kwenye jamii...wewe tu kila kitu...hiyo kazi ya kushika wanaume...achia mdada na wewe unakuwa overall in charge wa shughuli nzima.Saa mbili saloon imefungwa uko nyumbani.
Unafanya kazi za nyumbani na kumuandalia mumeo hifadhi...Hapa u serious unahitajika sana...kwa kweli vinginevyo ndoa itavunjika....

Mshikaji wangu mmoja alimfungilia saloon mkewe ubungo...baada ya mida ya kufunga kuzidi kuongezeka....kisa kuwa wateja wengi...ilibidi kufunga saloo...see that

Best wishes

Kaka nashukuru, kwa kweli hii stori ni kweli ilianza na yeye huo uDJ then ikafatia mimi ndo nikaja kufungua kasaloon home. Mchango wako ni mzuri pia ila may be kufafanua am in England not tanzania.
 
Asante Mama, ila bias ndo nini! kimombo changu ni cha juu juu mama angu weee! sio eti nimekataa nimekubali kabisa na nimesikiliza. Ila yeye ndo bado anakijiba cha roho kuwa ana right ya kufanya huo uDJ. Kwa hiyo mimi niwe wivu sina ila roho inauma mama aah (as said by wazee wa ngwasuma) au!


Penny, namaanisha maamuzi yako katika hili yameegemea upande mmoja, yaani yako yawe kwa namna yeyote ile hata kama mwenzi wako haridhii!

Inabidi ukubali ukweli kuwa ulivyomkataza UDJ roho ilimwuma pia, lakini alikutii kwa vile anakupenda, sasa imekuja zamu yako hutaki kujitolea kuacha kufanya analokukataza mwenzio hata kama ni lile unalolipenda, yaani mkuki achomwe nguruwe, akichomwa binadamu unauma saana.

Uache analokukataza mwenzio au umruhusu naye afanye alipendalo. Yangu ndio hayo tu. Nakutakia kila lenye heri na mafanikio.
 
Get you penny.

I thinks this is general....unaweza kuona nini kina apply katika mazingira ya ya UK....
Ni kuweka mipaka ya kazi ya kila mtu ili kupata muda wa kuongea mambo mengine ya kazi na maisha...at the same time check kama kazi zote zinaingiza kipato.Ambacho ni worth..katika familia yenu....if that is the case...katika hili...Uk najua life tight kama umeweza fungua hata saloon..that is great progress...

Best wishes
 
penny, jee mumeo huwa anapandisha ny**e akishikwa nywele?
inawezekana hisia zake kwenye nywele zake ndo zinamfanya
apinge vikali kwa saloon yako kuhudumia wanaume.

jee pingamizi lako wewe kwa udj linasababishwa na nini hasa?
kutomuamini mumeo kutokana na mwenendo wake au kitu
kingine?

naamini majibu yako katika haya masuala yanaweza saidia kupata
ufumbuzo wa tatizo lako
 
penny, jee mumeo huwa anapandisha ny**e akishikwa nywele?
inawezekana hisia zake kwenye nywele zake ndo zinamfanya
apinge vikali kwa saloon yako kuhudumia wanaume.

jee pingamizi lako wewe kwa udj linasababishwa na nini hasa?
kutomuamini mumeo kutokana na mwenendo wake au kitu
kingine?

naamini majibu yako katika haya masuala yanaweza saidia kupata
ufumbuzo wa tatizo lako

Kwa kweli hana hisia za nyewele. Pingamizi langu la yeye kwenda kufanya uDJ nikutokana na tabia yake fulani fulani iliyonisababishia nishtuke! maana mkitoka kwenda out kwenye party hawezi kutulia na wewe sehemu moja utamkuta mara hapa mara pale, na anapendelea zaidi kuongea na wanawake sio wanaume. Ilibidi nimkalishe tabia na kumueleza hayo anayo fanya hayanipendezi ndo hapo nikaona ameanza kubadilika kidogo. So ilipokuja issue hii ya uDJ ndo nikamwambia kwanza hana fani nayo na pili itaniweka roho juu tuu so if he wants to be with me better aachane nayo. That is why when he also told me to stop making Men hair I agreed with a clean heart.
 
Nimerudi tena wandugu, kwa kweli ilibidi nimuache huyu bwana aendelee na UDJ wake maana imekuwa sasa ndo chanzo cha kutotoa pesa ya matumizi akidai kuwa hio kazi ndo ilikuwa ikimuuingizia kipato pia. Ila sasa cha ajabu mwenzangu last weekend alidiriki kwenda kuperform kwenye birthday party na kuniacha kitandani naumwa na kurudi saa kumi za usiku! Na kulikuwepo na mtu alieweza kumsaidia au angemkabidhi tuu hio deal. Hivi hapo kweli kuna kujaliana kweli! Naombeni msaada maana naona sasa kama naonewa vile.
 
....hapo pa kurudi nilisahau lingine. Iliporudi usiku nilimsikia vizuri akiingia nikajifanya sijasikia lolote akaingia kulala. Sasa asubuhi nikamuuliza kiujanja tuu alirudi saa ngapi na aliniamsha kama kawaidia yetu tulivyozoea. Akajabu eti alisema tuu nimerudi ila hakunigusa. Ilihali yeye hakusema kitu chochote mpaka alipoingia kitandani na kuanza kukoroma. Sasa hapa nimemgundua anakauongo fulani hivi. Sasa nimwambie ukweli kuhusu hilo ili ajijue?
 
Nimerudi tena wandugu, kwa kweli ilibidi nimuache huyu bwana aendelee na UDJ wake maana imekuwa sasa ndo chanzo cha kutotoa pesa ya matumizi akidai kuwa hio kazi ndo ilikuwa ikimuuingizia kipato pia.

...saaawa, mwanzo mzuri...

Ila sasa cha ajabu mwenzangu last weekend alidiriki kwenda kuperform kwenye birthday party na kuniacha kitandani naumwa na kurudi saa kumi za usiku! Na kulikuwepo na mtu alieweza kumsaidia au angemkabidhi tuu hio deal. Hivi hapo kweli kuna kujaliana kweli! Naombeni msaada maana naona sasa kama naonewa vile.

...u-Dj ni sawa na kazi nyingine,...kama alikwenda kazini, na u-Dj mara nyingi ni usiku, jitahidi kumsamehe tu na uelewe nature ya kazi yake...

....hapo pa kurudi nilisahau lingine. Iliporudi usiku nilimsikia vizuri akiingia nikajifanya sijasikia lolote akaingia kulala. Sasa asubuhi nikamuuliza kiujanja tuu alirudi saa ngapi na aliniamsha kama kawaidia yetu tulivyozoea. Akajabu eti alisema tuu nimerudi ila hakunigusa. Ilihali yeye hakusema kitu chochote mpaka alipoingia kitandani na kuanza kukoroma. Sasa hapa nimemgundua anakauongo fulani hivi. Sasa nimwambie ukweli kuhusu hilo ili ajijue?

...powa, mwambie tu ukweli uondoe duku duku lako, lakini kumbuka mara nyingine uongo hutumika kama intention ni kunusuru mapenzi...
 
...saaawa, mwanzo mzuri...



...u-Dj ni sawa na kazi nyingine,...kama alikwenda kazini, na u-Dj mara nyingi ni usiku, jitahidi kumsamehe tu na uelewe nature ya kazi yake...



...powa, mwambie tu ukweli uondoe duku duku lako, lakini kumbuka mara nyingine uongo hutumika kama intention ni kunusuru mapenzi...

Hapa kwenye italic umenikuna baba, kwingine tusubirie mawazo ya wengine. Nashukuru.
 
attachment.php
 

Attachments

  • securedownload (1).jpg
    securedownload (1).jpg
    30.2 KB · Views: 149
Back
Top Bottom