Penny
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 575
- 48
Za leo wandugu wapendwa,
Noamba kuuliza mimi na ki professional cha u saloonisist na mme wangu ni mpenzi sanaaaa wa musiki mpaka kumpelekea kutaka kwenda kuanza kuwa DJ katika kumbi za mziki kama extra ways za kujiongezea kipato. Kwa kweli hili jambo siku liafikiana nalo na nikaongeanaye kwa kumuelekeza kuwa sijambo zuri especially kwa marriade couples. Ok kwa kweli alikubaliana nami ila kwa shingo upande sana. Sasa mimi nami kwa kuwa sina kipata bado cha kunipatia pesa, niliamua kufungua kijisaloon hapahapa home. Ila problem imekuja sasa, marafiki zake wanataka niwatengeneze nywele pia! nilipomwambia kwa kweli amekuwa mkali sana na niliamua kutowatengeneza tena ili kumtii mme wangu. Sasa wana JF nilipenda kupata michango katika haya mambo je yanastahili kufanyika au la.
Noamba kuuliza mimi na ki professional cha u saloonisist na mme wangu ni mpenzi sanaaaa wa musiki mpaka kumpelekea kutaka kwenda kuanza kuwa DJ katika kumbi za mziki kama extra ways za kujiongezea kipato. Kwa kweli hili jambo siku liafikiana nalo na nikaongeanaye kwa kumuelekeza kuwa sijambo zuri especially kwa marriade couples. Ok kwa kweli alikubaliana nami ila kwa shingo upande sana. Sasa mimi nami kwa kuwa sina kipata bado cha kunipatia pesa, niliamua kufungua kijisaloon hapahapa home. Ila problem imekuja sasa, marafiki zake wanataka niwatengeneze nywele pia! nilipomwambia kwa kweli amekuwa mkali sana na niliamua kutowatengeneza tena ili kumtii mme wangu. Sasa wana JF nilipenda kupata michango katika haya mambo je yanastahili kufanyika au la.