matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,225
- 3,944
niombe msamaha kwani nimekosea nini??....anza kuisoma sredi toka mwanzo alafu uone nani mchokozi na anaelazimisha ugomvi..ata ivyo nilishatoa onyo kabla,wakanipuuza..sasa nikalusha vibomu viwili tu watu jana wameshindwa hadi kula.je ningeendeleza mabomu yaliyo baki??
mie ndio inabidi kuombwa msamaha kwa matusi wanayotukana kama wamekosa malezi.