M4C ARUSHA
Member
- Apr 27, 2012
- 38
- 4
Tanzania zaidi ya uijuavyo!hatimaye shule ya sekondari ya tarakea day imeingiwa na bundi wa aina yake ambapo mkuu wa shule hiyo mwl Kija amehamua kuwafukuza walimu wa kike ili marafiki zake wa kiume waweze kuwatumia kingono wanafunzi wa kike shuleni hapo
Hatua hii mbaya imefikia huku akimtaka matroni wa shule hiyo aondoke na kutaka walimu vijana kutoka shule ya hapo waache kupanga mitaani na badala yake wawaondoe walimu wa kike ili waweze kuwa shuleni
Okoa kizazi hiki ipende rombo yako na hata taifa kwa ujumla funguka
Hatua hii mbaya imefikia huku akimtaka matroni wa shule hiyo aondoke na kutaka walimu vijana kutoka shule ya hapo waache kupanga mitaani na badala yake wawaondoe walimu wa kike ili waweze kuwa shuleni
Okoa kizazi hiki ipende rombo yako na hata taifa kwa ujumla funguka