Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Natoa shukrani kwa BBC kwa mchango wao katika vipindi vyao kuelekea uchaguzi kuanzia tarehe 27.10.2010.Mpaka tarehe 2.11.2010.Kwa uchambuzi wa kina na uhakika katika vipindi vyao bila ubaguzi.CCM inakimbia midahalo nini hasa sababu ya kufanya hivyo?Jibu ni kwamba Viongozi wa CCM asilimia 100 hawaifahamu sera au ilani ya CCM.Kazi inayoifanya BBC ilikua inapashwa kufanywa na TBC.MUNGU IBARIKI TANZANIA