Bigbootylover
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 2,847
- 1,820
Dah mnanishawishi niende huko maeneo
Sawa MkuuKakwambia anaenda kutafuta kazi haendi kuomba ukimbizi, hebua wacha uhayawani huo!
Dubai is not the best place in the world for work, lakini huwezi kumaliza mwezi usipate kazi. Na in most places unapata accomodation na transportation kwenda na kurudi kazini for free. Maneno ya akiba tu, work means work! Usitegemee utapata ureda. Uwe tayari kutukanwa.
Kuna fursa Canada za madereva wa Roli pitieni website zao huko tena wanahitaji waafrica tu