Kazi BOT.....Deadline 28.May.2010

IronBroom

JF-Expert Member
Jun 12, 2008
521
36
File attached.Kila la kheri kwa mwenye sifa.
 

Attachments

  • JOB_ADVERT_APRIL_2010.pdf
    123.9 KB · Views: 438
dada Rehema gwa kukaja umeweka hapa barua hii kama draft ili watu waweke comments au ndo unaomba kazi
 
Teh teh! au mtu kandika tu ili kuchekesha watu humu jamani, asante IronBroom kwa taarifa.
 
Da! Huyu kachemka vibaya hadi namwonea huruma.

hapo ndio kaomba kaweka barua na vyeti tayari., kazi kweli kweli
 
Mpigieni Simu namba yake si iko hapo kwenye CV yake.
Mpeni maelekezo sahihi, si mnaona tarehe yake ya kujiunga jamani.............
 
Applications must be addressed to:
Deputy Governor (AIC),
Bank of Tanzania,
P. O. Box 2939,
Dar es Salaam.
Mkuu itakuwa poa sana kama uta-edit post yako na kuondoa hiyo barua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom