Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Huyu ni miongoni mwa wafanyakazi wanaojenga Hotel ya ghorofa 25 pale opposite na Peagot House. Wafanyakazi wote wanavaa Hard hat kama one of the PPE lakini hakuna hata mmoja mwenye Safety boot na hii ni hatari sana kwa usalama wao. Hivi serikali yetu mambo kama haya haiyaoni???