ladies n gentlemen, kuna yeyote ana idea hawa alliance one wanalipa kiasi gani kwa post design hii. Nimefanya written interview naskilia ingine. Axanten
ngoja kwanza naongelea ile ya tobacco? kwani wameita lini kwenye hiyo interview.?:yawn:[/QUOTE
Yes ni hiyo ya tobacco, walishatuita kufanya written interview. tar 5 january tunaenda kupiga oral.
ngoja kwanza naongelea ile ya tobacco? kwani wameita lini kwenye hiyo interview.?:yawn:[/QUOTE
Yes ni hiyo ya tobacco, walishatuita kufanya written interview. tar 5 january tunaenda kupiga oral.
Dar mliitwa lini? i min tarehe ngap? ina maana mim ndo wamenichinjia baharin? Dar!!!!!!!!!!
kaka hawa jamaa wameita lini kwani hata mimi niliomba wakuu na dead line ilikuwa tarehe 1/12/2011
hebu tuwen serious wakuu au ndio ukiona manyoya
Dar mliitwa lini? i min tarehe ngap? ina maana mim ndo wamenichinjia baharin? Dar!!!!!!!!!!
Wameshaanza kuita kwa ajiri ya interview ya pili
jamani kwa nin watu wa humu jamii mnapenda kuwapa wenzenu presha? Mbn me nawasiliana na mtu moro anase?a ndo kwanza mchakato bado?
jamani kwa nin watu wa humu jamii mnapenda kuwapa wenzenu presha? Mbn me nawasiliana na mtu moro anase?a ndo kwanza mchakato bado?