Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Micro Loan
Client Advisors
Cashiers
Kwa taarifa zaidi cheki web yao accessbank.co.tz
Client Advisors
Cashiers
Kwa taarifa zaidi cheki web yao accessbank.co.tz
Hawa jamaa ukienda kwnye website yao ili u-submit maombi ni lazima uingize captcha halafu mbaya zaidi zinaonekana nusu na nusu zimezibwa na matangazo.
Loan officer wa Access baank analipwa Tsh.180,000/= kwa mwezi
Loan officer wa Access baank analipwa Tsh.180,000/= kwa mwezi
duu wanasemaga no data, no right to speak! hakika umekurupuka hapa umetuongopea, binafsi ninawafahamu watu wanaofanya hapo kazi wanalipwa kidogo ila si kama ulivyotuongopea hapo inafika mara mbili ya hiyo
mkuu wengi huwa hawasemi ukweli..ungeniambia wewe ndo unafanya kazi hapo ningekuelewa
Loan officer wa Access baank analipwa Tsh.180,000/= kwa mwezi
nimefanya kazi pale,ipo hivi hiyo 180000 unalipwa wakat wa training ambayo haitazidi miezi miwil,ukiajiriwa unalipwa basic 340000,na unakua unapata bonas kutegemea utendaji kazi wako.binafsi mpaka naacha kazi nilikua napata gross almost 1.6m na net 1.1m.kiukwel katka microfinance banks za hapa mjini jamaa wanajitahid ktk scheme zao za bonas.na ukizingatia hakuna kazi nyepesi mjini hapa kama ya uafisa mikopo so the bonus is yours kama ukiwa pale.Loan officer wa Access baank analipwa Tsh.180,000/= kwa mwezi