Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
Poleni na msiba wa mzee wetu mpendwa na mnyenyekevu wanajamvi wenzangu........kuna tetesi nyingi sana kuhusiana na chanzo cha ajali iliyosababisha kifo cha hayati Sokoine,mojawapo ikiwa ni kwamba hayati mzee Kawawa alikua anahusika.........ukweli ni upi?