TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Water pump ya Kawasaki model FA130 inayo tumia Petroli inauzwa shs 550,000.Mashine hii ilitumika uingereza katika project moja tu na ipo ktk hali nzuri sana.Na ni mashine ya uhakika na bei yake mpya inauzwa £ 450.Inakuja na Outlet pipe mbili zenye urefu wa futi 18 kama inavo-onekana ktk picha.Ipo dar na unaweza kuwasiliana na Habibu 0717810318.