kinganola
Senior Member
- Aug 16, 2011
- 117
- 30
Naomba mnisaidie kumuelewesha Kawambwa,Tatizo sio wanafunzi wa vyuo vikuu,tatizo ni bodi.Hivi na haki kweli Wanafunzi wamemaliza mwezi sasa vyuoni hawajapewa pesa zao?,na amesema wakigoma anafutia Mkopo.Hivi amewahi jiuliza kuwa wanaishije vyuoni?,au anafikiri ni watoto wa mafisadi kama yeye?,huyu mi nadhani aitwe kaumbwa sio kawambwa,maana anatabia za mbwa mbwa,mbwa ndo huwa wanabweka bweka ovyo ovyo hata wakimuona land lord wao.