mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
SERIKALI ilihalalisha ada iliyoliwa na chuo, ada kutoka HESLB-mikopo kwa wanafunzi kisa/sababu hawajasaini vitabu,
1. ilichuguza ukweli huo?
2. kawambwa/Serikali awe makini na S.mlacha vs I.Kikula
3. udhalimu huo ni ishara mbaya sana.
4. Board na Chuo(BURSAR-UDOM) si waaminifu.
serikali haipaswi kutoa MATAMKO...mwanachuo kuamuliwa kulipa ada ambayo hana ili apate cheti sio sahihi
Alilitamka kirahisi sana bungeni asijue madhara,adha kwa wahitimu,
hivi?
anajua kinachofanywa na ofisi ya ma-bursar udom?
Tatizo la serikali siku zote inaamini sana manen ya kuambia na
waliowaachia dhamana bila kuchunguza. Ni muhimu sasa kufuatilia
hali iliyopo udom kwa wahitimu kudaiwa ada eti bodi haijalipa.
Endapo hali itaendelea kama ilivyo sasa, kwa tabia eti ushahidi
wa wanaodai ada na kuzichukua, nchi hii itaendelea kuwa na
watakaokuwa wamehudumu na kutajirika tena kupitia udhalimu
kama unaoendelea leo UDOM-OFISI ya FEDHA UDOM si salama,
katika hili la graduands wanaodaiwa walipe ada, wataitoa wapi?
source! wanachuo(graduands) wanaohangaika mtaani baada ya
kunyimwa vyeti,na wachache watoto wa wenye afueni waliofanikiwa kulipa ada wanayodaiwa
nawasilisha
1. ilichuguza ukweli huo?
2. kawambwa/Serikali awe makini na S.mlacha vs I.Kikula
3. udhalimu huo ni ishara mbaya sana.
4. Board na Chuo(BURSAR-UDOM) si waaminifu.
serikali haipaswi kutoa MATAMKO...mwanachuo kuamuliwa kulipa ada ambayo hana ili apate cheti sio sahihi
Alilitamka kirahisi sana bungeni asijue madhara,adha kwa wahitimu,
hivi?
anajua kinachofanywa na ofisi ya ma-bursar udom?
Tatizo la serikali siku zote inaamini sana manen ya kuambia na
waliowaachia dhamana bila kuchunguza. Ni muhimu sasa kufuatilia
hali iliyopo udom kwa wahitimu kudaiwa ada eti bodi haijalipa.
Endapo hali itaendelea kama ilivyo sasa, kwa tabia eti ushahidi
wa wanaodai ada na kuzichukua, nchi hii itaendelea kuwa na
watakaokuwa wamehudumu na kutajirika tena kupitia udhalimu
kama unaoendelea leo UDOM-OFISI ya FEDHA UDOM si salama,
katika hili la graduands wanaodaiwa walipe ada, wataitoa wapi?
source! wanachuo(graduands) wanaohangaika mtaani baada ya
kunyimwa vyeti,na wachache watoto wa wenye afueni waliofanikiwa kulipa ada wanayodaiwa
nawasilisha