spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
- Thread starter
- #81
Sasa kwakua amekuta wizara ina matatizo na yeye anayaacha na kuyaongezea mengine?ukimtetea kawambwa unalihujumu Taifa.ok,sasa hana akili ya kupima kuwa ameshindwa kazi?ANASUBIRI NINI KUJIUZULU,ANASHINDWA HATA KUJIONGEZA KICHWANI?KWANINI AKAE KWENYE KITI AMBACHO HAKIMTOSHI?
Kateuliwa ili akaondoshe matatizo, kwa mm anayaongeza......
Saivi wanapitisha wote kwenda Sekondari hata shule yenye mwl. mmoja tu imefaulisha wanafunzi wote
Huu ni Umbwiga:yield: