Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Nchi lazima itawalike tu. No matter what!. Kama alivyosema JK, wale wanaodhani nchi haitatawalika wasahau. Lazima kushikisha adabu kila mtu anayeleta chokochoko!
Itatawalika kidiplomasia, ila kimabavu, JK asahau...