Kawambwa, Nahodha na Mwema wakutana na wanafunzi UDSM

ni kweli nimeongea na mtu pale wanasema kuwa mwema alipotoka nkrumh akawa hajatoa majibu ya uhakika
walizomewa na FFU wakaripua mabomu ya machozi

Wanasema bomu moja limemdondokea mwanafunzi mmoja kaungua

Mwenye more info pleaz

Wanasheria tafadhali jitoleeni kuhakikisha polisi wanafikishwa mahakamani hii polisi kutumia nguvu kwa vitu visivyostahili haifai kabisa IGP mwema kwenda chuo kikuu nikutaka kuwatisha wanafunzi sasa wamemuunguza mwanafunzi kwa kosa gani,wamewafuata kuwadhuru wakati wakidai haki zao za msingi utawala gani huo
 
Kumbe wanafunzi wanakili kwamba waliwachoza polisi kwa kuwarushia chupa za maji na mawe!! Kama ni hivyo nadhani polisi walikua sahihi kujihami na kundi kubwa la wanafunzi. Hakukua na njia nyingine hasa ukizingatia wao walikua wachache.
 
Kwa hio polisi wakizomewa tu wanapiga mabomu!! hii nimeipenda, na sie walimu tukizomewa na wanafunzi tuwafanyeje kama kila mtu anatumia alichonacho kama silaha yake? je hayo ndio maadili ya upolisi? basi watatumaliza bana
 
Nani kawasingizia???:A S thumbs_down: hapakuwepo njia nyingine mpaka warushe mabomu sehemu ya mkusanyiko wa wanafunzi mpaka wamejeruhi
kwa bomu lao kuunguza mwanafunzi

Ndo mana wanasema polisi wetu darasa la 4

Njia gani unadhani wangetumia tofauti na mabomu baada ya kuchokozwa?
 
Hawa watoto lakini demand zao hazipo realistic based on the state of the economy. Na hizi tabia zina ashiria uchoyo kutoka kwa hawa vijana, mabomu ya machozi wont be a bad thing kuwatia adabu.

Wanataka kuandamana waende kuwasaidia wasomi waliomaliza vyuo na wamekosa ajira hili ufanisi uongezeke serikalini (coming to think of it how many of them will pay back taxpayers money), au waandamane Mkullo afukuzwe kazi kwa kusababisha hali ngumu za kuichumi na kutokuwa na policy sahihi za kukabiliana na hali ya sasa.

Au waandamane raisi ajizulu kwa kuwa hajui suluhisho la matatizo yetu jambo ambalo kakiri adharani.

Lakini si kuandamana kuongezewa hela wakati watanzania wengi wana hali ngumu kama yao, labda waungane na watanzania wenzao kuandamana Mr. President ajiudhuluu.
 
Wanafunzi ningewasapot sana kama wangekataa kuongea na waziri mpaka polisi waondoke. aiwezekani kiongozi unaenda kuongea na watu wako umebeba zana za kijeshi. dhalau hiyo.

Good Idea...... wangefanya hivyo.... police wetu ndo wasababishaji wakubwa wa fujo...
 
Mkandala or Mgaya kwanini msifunge chuo indefinitely kama hamuwezi kufundisha hawa watoto?
 
Njia gani unadhani wangetumia tofauti na mabomu baada ya kuchokozwa?

Kuzomewa ndo kupigwa mabomu???:A S thumbs_down::A S thumbs_down: je mwanafunzi akimzomea mwalimu ndo anachukoa cheo chake kumtesa na kumuadabisha kwa fimbo mwenzie??
 
Polisi leo hawakuwa na taabu kabisaaaaa tusi wasingizie,.....ingawa kawambwa hakujibu kero za wanachuo,....sisi ndo tume wachokoza polisi kwa kuwarushia makopo ya maji na mawe,unategemea nini kama sio kulizwa?

Tusi wasingizie kwa kila jambo,hata kama hatukupata haki yetu hakukuwa na haja ya kuwatupia makopo ya maji na vitu kama hivyo ambavyo ni uchokozi
Hiyo sio sababu ya Polisi kurusha mabovu na kuunguza wanafunzi mbaya sana hawa Polisi wanatafuta mtafaruku na wanafunzi kwanza Waziri Mkuu Pinda amesema tuwazomee wezi na wababishaji
 
Ah! Taarifa za kweli ni kuwa mabomu mengi ya machozi yanaisha muda wake mwezi huu mwishoni hivyo serikali imeamua kuyatumia ili isipate hasara. Inafikiria namna ya kuyatumia kabla hayajamalizika muda wake ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa fedha za kigeni zilizotumika kuyaagiza zinakuwa na thamani halisi ya kusudio.
 
Wanasheria tafadhali jitoleeni kuhakikisha polisi wanafikishwa mahakamani hii polisi kutumia nguvu kwa vitu visivyostahili haifai kabisa IGP mwema kwenda chuo kikuu nikutaka kuwatisha wanafunzi sasa wamemuunguza mwanafunzi kwa kosa gani,wamewafuata kuwadhuru wakati wakidai haki zao za msingi utawala gani huo

Nimejifunza kuwa sometimes usiegemee upande mmoja tu na kuona kuwa unaonewa,jipe mda kuangalia upande mwingine inawezekana ukawa wewe ndio sababu ya hicho unacho kiona uonevu!

Mimi ni mwanafunzi,madai yetu ni ya muhimu kabisaaaa!
Pamoja na ukweli kwamba sijakubaliana na majibu ya kawambwa,ukweli ni kwamba kila kitu kilikuwa kinaisha kwa amani kabisaaa kama sio kwa vichaa wachache walio anza kuwarushia mawe na chupa polisi na kusababisha polisi wajibu kwa mabomu!

Mimetoka machozi maana sikua na maji,lakini "i don't blame the police today" hata kidogo!
Mwingine anasema kwanini watumie mabomu,wangetumia nini sasa?
au mlitaka watumie risasi za moto au ?
 
sina hakika na uyasemayo,ila kama ni yakweli basi hii serikali itakuwa ni ya marafiki kwa %kubwa
ila kilka jambo lina mwanzo na mwisho wake

msema ukweliiii hapendwiiiiii daimaaaaaa:sick:

Ni kweli mkuu mwema ni shemeji yake bw. mkubwa, ndiye mjomba wake rz1 yaani kaka yake mama yake mzazi rz1. Aliletwa na mh. kutoka Interpol alipokuwa akifanya kazi ili achukue hiyo kazi ya ukuu wa risasi, mabomu na mawashawasha.
Hayo ndio niyajuayo kwa sasa.
 
Kwa hio polisi wakizomewa tu wanapiga mabomu!! hii nimeipenda, na sie walimu tukizomewa na wanafunzi tuwafanyeje kama kila mtu anatumia alichonacho kama silaha yake? je hayo ndio maadili ya upolisi? basi watatumaliza bana

hali itakuwa mbaya kama kila kada itatumia ilichonacho.Madaktari na wauguzi si ndo watatudunga sindano za sumu!
 
Hawa watoto lakini demand zao hazipo realistic based on the state of the economy. Na hizi tabia zina ashiria uchoyo kutoka kwa hawa vijana, mabomu ya machozi wont be a bad thing kuwatia adabu. ajiudhuluu.

Mkuu kama ukiniuliza mimi what is realistic, kutokana na nchi yetu kuwa na maliasili, maziwa makuu, mbuga za wanyama n.k., yafuatayo yangeweza kuletwa na serikali kwa wananchi wake:-
  • elimu na afya bure
  • huduma za nyumba nzuri (flats) kwa wananchi wasiojiweza kwa bei nafuu
  • huduma za maji na umeme kwa bei nafuu kwa wananchi au kampuni za madini kutoa ruzuku kwa hii huduma sehemu penye machimbo
  • miundombinu ya kufaa Tanzania nzima ili mkulima bidhaa zake ziweze kufika popote
  • viwanda, hence ajira kwa wananchi wote
Mkuu hiyo ndio reality kulingana na nchi yetu ilivyo tajiri
 
Kweli polisi wa bongo inabidi warudi walikofundishwa usalama wa raia.... kwani kila kuwakataza watu lazima uwatupie mabomu???:twitch:
 
Nimejifunza kuwa sometimes usiegemee upande mmoja tu na kuona kuwa unaonewa,jipe mda kuangalia upande mwingine inawezekana ukawa wewe ndio sababu ya hicho unacho kiona uonevu!

Mimi ni mwanafunzi,madai yetu ni ya muhimu kabisaaaa!
Pamoja na ukweli kwamba sijakubaliana na majibu ya kawambwa,ukweli ni kwamba kila kitu kilikuwa kinaisha kwa amani kabisaaa kama sio kwa vichaa wachache walio anza kuwarushia mawe na chupa polisi na kusababisha polisi wajibu kwa mabomu!

Mimetoka machozi maana sikua na maji,lakini "i don't blame the police today" hata kidogo!
Mwingine anasema kwanini watumie mabomu,wangetumia nini sasa?
au mlitaka watumie risasi za moto au ?

Wewe mpumbavu ni mmoja kati ya wale ambao huwa hawagomi hata kama sababu za mgomo huo ni kukuokoa wewe peke yako kutoka katika tatizo fulani.
Wewe unafurahia wenzako zaidi ya 40 ambao wako rumande wakiteseka hadi sasa.
Kama unaungana na polisi hiyo hela ikiongezwa ikatae basi.
 
polisi leo hawakuwa na taabu kabisaaaaa tusi wasingizie,.....ingawa kawambwa hakujibu kero za wanachuo,....sisi ndo tume wachokoza polisi kwa kuwarushia makopo ya maji na mawe,unategemea nini kama sio kulizwa?

Tusi wasingizie kwa kila jambo,hata kama hatukupata haki yetu hakukuwa na haja ya kuwatupia makopo ya maji na vitu kama hivyo ambavyo ni uchokozi
kulikuwa na haja gani kwenda na ulinzi mkubwa na maboom na vifaru na maji ya kuwasha kwenye mkutano wa amani huu ni upuuuzi kabisaaa! Kulikuwa hakuna haja ya polisi kwenda pale na vyote hivyo!
Watu wamekuw wavivu kufikiri kweli miaka hii sijui kwanini!??
 
Back
Top Bottom