<br />Hvi kawambwa ni nan kwani?
<br />Wao walisomeshwa na Nchi hii, ni wangapi wameamuru mishahara yao hasa mawaziri ipunguzwe kuchangia Elimu yetu, kama alichowahi kufanya Mwl JkNyerere miaka ile wanafunzi wa chuo cha Udsm walipogoma. Je kwa hawa ambao tayari walishatumia Rasilimali za nchi kuwezesha kugharimia Elimu yao, wapi Uzalendo wao katika kuchangia Elimu yetu. Na ni mkakati gani madhubuti waliouandaa katika kuhakikisha Swala la Elimu linakuwa Shwari. Inashangaza kuona wanaandaa sera za vyama bila kujali hatma ya watanzania kwa ujumla.
<br />Dr shukuru kawambwa akihojiwa na Seleman mtangazaji wa ITV Katika kipindi cha Dkk 45 leo, kasema wazazi ndo Wenye Jukumu la kuwasomesha watoto wao, hata hivyo serikali itajivua gamba kwa mzigo inayobebeshwa katika Swala la Elimu Kwa watoto wao. Ameongeza kwamba Ghana ni 1% tu inahusika katika swala la Elimu nchini mwake, na Tanzania mzigo wa Elimu ni mkubwa 68.% ukilinganisha na nchi za kusini mwa Jangwa la sahara kama Kenya, Uganda,Malawi,Burundi na Rwanda. Hata hivyo amedadavua kwamba Idadi ya wanafunzi waliokopeshwa na serikali kugharimia Elimu yao ya Juu imepanda hadi kufikia wanafunzi 92,000 kwa mwaka huu ikilinganishwa na Miaka iliyopita ambayo ilikuwa pungufu ya hapo. Huu nauita UmbayuWaYu na Ukong'ota kwa asilimia 100%. Je Tanzania imewekeza vyakutosha katika Elimu?
<br /><br />Namuunga mkono shukuru. Hongera Waziri. Wazazi wakati wanazaa watoto hawakupanga na serikali. Mzigo wa kusomesha mtoto ni wa mzazi.
wewe ni mojawapo ya wanaozitafuna pesa za walipakodi pale Bodi ya mikopo. Kama sio, mbona unaropoka kama umepewa mlenda wa asili? Na umesomeshwa na pesa za walizolipa kodi wazazi wetu. Nenda Igunga ukapigwe Nondo.&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br />
bila shaka utakuwa umetumwa wewe si bure,ndo wanafiki wenyewe msiopenda kuona maendeleo ya nchi yenu,Serikali haijawekeza vya kutosha katika elimu,na hakuna wizara yenye uozo wa maamuzi kama Wizara ya elimu