KAWAMBWA, JuKUMU LA KUWASOMESHA WATOTO NI La WazaZi na sio Serikali.

Hii nchi tunaelekea libya...!!hakuna anayependa ila kwa hzi statement za kashfa frm vongoz we2 cjui kama 2tafika..!
 
Hiyo ndo TZ bwana, viongozi hawajui hata wanalolisimamia. Business as Usual
 
Nyie zaeni kama mbwa. Slaa atakuja kuwasomeshea watoto wenu...in your dreams lakini
 
Dah! Umasikini wa mawazo ni ugonjwa usiopona, huko tunakoelekea watu watapigika kiasi kwamba hata elimu ya awali itabidi waombe mikopo. Me naamini kizazi cha jana na cha leo kama vingepata elimu bora basi hicho kizazi cha kesho ingekuwa ni bata tu coz wazazi wangekuwa wanajiweza but kwa mtindo huu ni revolution tu itakayotukomboa. Sitaki amani me nataka maisha bora na usawa.
 
Nchi kubwa kama marekani bado inatenga budget kubwa ya elimu ili kuwafadhil wanafunz wake,ndo kijinchi kidogo ka tz kinajfanya eti tayari kna wasomi wengi wa kutosha hadi kinaanza kuwabagua katka kuwafadhili.
 
Wao walisomeshwa na Nchi hii, ni wangapi wameamuru mishahara yao hasa mawaziri ipunguzwe kuchangia Elimu yetu, kama alichowahi kufanya Mwl JkNyerere miaka ile wanafunzi wa chuo cha Udsm walipogoma. Je kwa hawa ambao tayari walishatumia Rasilimali za nchi kuwezesha kugharimia Elimu yao, wapi Uzalendo wao katika kuchangia Elimu yetu. Na ni mkakati gani madhubuti waliouandaa katika kuhakikisha Swala la Elimu linakuwa Shwari. Inashangaza kuona wanaandaa sera za vyama bila kujali hatma ya watanzania kwa ujumla.
 
Wao walisomeshwa na Nchi hii, ni wangapi wameamuru mishahara yao hasa mawaziri ipunguzwe kuchangia Elimu yetu, kama alichowahi kufanya Mwl JkNyerere miaka ile wanafunzi wa chuo cha Udsm walipogoma. Je kwa hawa ambao tayari walishatumia Rasilimali za nchi kuwezesha kugharimia Elimu yao, wapi Uzalendo wao katika kuchangia Elimu yetu. Na ni mkakati gani madhubuti waliouandaa katika kuhakikisha Swala la Elimu linakuwa Shwari. Inashangaza kuona wanaandaa sera za vyama bila kujali hatma ya watanzania kwa ujumla.
<br />
<br />
me nakwambia yanayotokea libya yataikuta tz cku c nyingi..
 
daahh.. Lakini kwanin mkuu wa nchi JK..nae yupo kmya..kwanin asiweke mambo sawa... Ivi huu UGOIGOI utaisha lini? Kila kima ikishauriwa kuropoka na mkewe wakat wamelala... Anafanya hvyo.. Na media za nchi c mwende IKULU mumshtue HANDSOME...JK.. Mbona hasomi alama za nyakati...
 
Dr shukuru kawambwa akihojiwa na Seleman mtangazaji wa ITV Katika kipindi cha Dkk 45 leo, kasema wazazi ndo Wenye Jukumu la kuwasomesha watoto wao, hata hivyo serikali itajivua gamba kwa mzigo inayobebeshwa katika Swala la Elimu Kwa watoto wao. Ameongeza kwamba Ghana ni 1% tu inahusika katika swala la Elimu nchini mwake, na Tanzania mzigo wa Elimu ni mkubwa 68.% ukilinganisha na nchi za kusini mwa Jangwa la sahara kama Kenya, Uganda,Malawi,Burundi na Rwanda. Hata hivyo amedadavua kwamba Idadi ya wanafunzi waliokopeshwa na serikali kugharimia Elimu yao ya Juu imepanda hadi kufikia wanafunzi 92,000 kwa mwaka huu ikilinganishwa na Miaka iliyopita ambayo ilikuwa pungufu ya hapo. Huu nauita UmbayuWaYu na Ukong'ota kwa asilimia 100%. Je Tanzania imewekeza vyakutosha katika Elimu?
<br />
<br />
Mi naona huyu waziri hajafikiria vizur,leo huwezi niambia mimi mtoto wa mkulima ambaye hata wazazi hawakuweza kunilipia karo elimu ya sekondari leo wanilipie karo ya chuo! Huku ni kusalitiana,ni kama vile serikali yetu haipo responsible na sisi. Kama ni hvyo wangesema hli tokea mwanzo.
 
Namuunga mkono shukuru. Hongera Waziri. Wazazi wakati wanazaa watoto hawakupanga na serikali. Mzigo wa kusomesha mtoto ni wa mzazi.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
bila shaka utakuwa umetumwa wewe si bure,ndo wanafiki wenyewe msiopenda kuona maendeleo ya nchi yenu,Serikali haijawekeza vya kutosha katika elimu,na hakuna wizara yenye uozo wa maamuzi kama Wizara ya elimu
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;<br />
bila shaka utakuwa umetumwa wewe si bure,ndo wanafiki wenyewe msiopenda kuona maendeleo ya nchi yenu,Serikali haijawekeza vya kutosha katika elimu,na hakuna wizara yenye uozo wa maamuzi kama Wizara ya elimu
wewe ni mojawapo ya wanaozitafuna pesa za walipakodi pale Bodi ya mikopo. Kama sio, mbona unaropoka kama umepewa mlenda wa asili? Na umesomeshwa na pesa za walizolipa kodi wazazi wetu. Nenda Igunga ukapigwe Nondo.
 
Back
Top Bottom