Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Wakiwa bustanini wamepumzika;
Eva: Adamu naomba unieleze ukweli kama kweli unanipenda kwa dhati mpenzi wangu?
Adamu: Mi sikupendi, kwani niliwahi kukwambia nakupenda?
Eva : Sa kama hunipendi mbona unalala na mimi kila siku, si ungeniacha?
Adamu: Siwezi kumaliza sabuni wakati wewe upo, mngekuwa wengi ningekupiga kibuti kitambo!Eva akabaki analia. Chezea wanaume weye?!!
:A S 103::A S 103:
Eva: Adamu naomba unieleze ukweli kama kweli unanipenda kwa dhati mpenzi wangu?
Adamu: Mi sikupendi, kwani niliwahi kukwambia nakupenda?
Eva : Sa kama hunipendi mbona unalala na mimi kila siku, si ungeniacha?
Adamu: Siwezi kumaliza sabuni wakati wewe upo, mngekuwa wengi ningekupiga kibuti kitambo!Eva akabaki analia. Chezea wanaume weye?!!
:A S 103::A S 103: