GYNEOCOLOGIST
Senior Member
- Sep 13, 2016
- 171
- 110
Kiukweli kaunda suti ikishonwa na fundi anayeijulia inatoka poa saaaana na hasa ikivaliwa na mtu mwenye mwili wa wastani, yaani si mnene. Naomba kujuzwa ni wapi walipo mafundi wazuri wa hii kitu, nataka nibadili mwonekano wangu toka tishits na jeans hadi kaunda suti