Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Wakati umewadia kwa wachambuzi wa siasa kuanza kubashiri yatakayojiri - na kutoa mwelekeo wa hali ya kisiasa - wakati wa uchaguzi mkuu wa 2010. Moja ya masuala ambayo yatakiumiza na pengine yameshaanza kukiumiza chama tawala kichwa ni maandalizi ya kaulimbiu ya kampeni.
Zifuatazo ni kaulimbiu ambazo zinaoneka zimechuja na hazirekebishiki:
1. Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya!
2. Maisha Bora kwa Kila Mtanzania!
Na zifuatazo ni kaulimbiu ambazo zikirekebishwa zinaweza kuuzika:
1. Tanzania bila Umaskini Inawezekana!
2. Kilimo Kwanza na Uhakika wa Chakula!
Kaulimbiu zifuatazo ndizo zinaweza kuamsha ari ya wapiga kura wazalendo:
1. Rudisha Rasilimali kwa Wananchi!
2. Tanzania bila Ufisadi Inawezekana!
Je, chama tawala kitakuwa tayari kujisafisha kwa kaulimbiu za kimapinduzi?
Zifuatazo ni kaulimbiu ambazo zinaoneka zimechuja na hazirekebishiki:
1. Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya!
2. Maisha Bora kwa Kila Mtanzania!
Na zifuatazo ni kaulimbiu ambazo zikirekebishwa zinaweza kuuzika:
1. Tanzania bila Umaskini Inawezekana!
2. Kilimo Kwanza na Uhakika wa Chakula!
Kaulimbiu zifuatazo ndizo zinaweza kuamsha ari ya wapiga kura wazalendo:
1. Rudisha Rasilimali kwa Wananchi!
2. Tanzania bila Ufisadi Inawezekana!
Je, chama tawala kitakuwa tayari kujisafisha kwa kaulimbiu za kimapinduzi?