Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

mkuu, sihitaji kuongeza neno.
LIKE.

Hizi ni kauli za kawaida kwa watawala hasa wanaotawaliwa wanapokuwa ni wajinga na wasiokuwa na uwezo wa kuchukua hatua. Tutaendelea kuzikia kauli za kudhalilishwa hadi tutakapo amka usingizini! Tunadanganywa na kudhalilishwa kwa kuwa tumeshaharibiwa na shule za kata. Ndio maana tunaambiwa eti kuna "utawala bora!" Hakuna nchi iliyoendelea duniani ikiwa inatawaliwa. Wakati tunahitaji "viongozi bora", tuliowapa dhamana wanasema wanatutawala "kwa ubora" na sisi tunafurahia na kuwapongeza. Ndio maana wanatudharau na kutuona wajinga mwisho wanaropoka wanavyotaka maana wanajua hatuna jeuri ya kuwachukulia hatua.

Vyovyote vile, tutatukanwa na kudhalilishwa hadi tutakapotoka usingizini na kuchukua hatua madhubuti ya kuchagua "viongozi" bora na sio "watawala" wanaolewa madaraka na kuishia kututawala kama wakoloni kwa majigambo eti ni "utawala bora!"
 
HypocriteS HAWA(watawala)
kwanini wanatumia mabav?
Wangewaelimisha wananji why wanapandisha nauli
na sio kuwanyanyasa
na kuwakebehi, wakat wao ndo wahuska wakuu wa kukwiba rasilimal zetu
na kutuachia umaskini WA HALI YA JUU,WANANJI
wangetakiwa wampopoe mawe au wamdumbukize baharini aanze kuonyesha mfano wa
kupiga mbizi AF ndo wananji wafwate
mfano, c yeye apande v8
full kiyoyozi kwa hela hizohizo anazowanyonya wananji haohao na kebehi juu!!!
NYAMBAF ZAKE
 
Magufuli hakutumia kauli nzuri kweli. Lakini, for how long Tsh. 100 imetumika pale kivukoni? Gharama zinapanda jamani, tukubali hilo.
 
Asalaamu
  1. John Malecela alipokuwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi wakati aliposomewa risala ya hali mbaya ilikuwa inaikabili Treni ya Abiria ikiwemo uchakavu, ratiba mbovu, ujazazji kupita kiasi nk alijibu "ASIYETAKA MATATIZO AENDE KUZIMU"
  2. Waziri Mkuu mstaafa Cleopa Msuya naye aliwahi kuwaambia wananchi wakati akiwasilisha bajeti ngumu kwa wanachi na kulalamikiwa kuhus ada kubwa ya wanafunzi alijibu "KILA MTU ATAUBEBA MSALABA WAKE MWENYEWE" (siikumbki vizuri sana unaweza kuibioresha
  1. BASIL Mramba alipojiwa juu kuhusu ununuzi wa rada na madhila yake kiuchumi alijibu TUTAKULA HATA NYASI NA RADA ITANUNULIWA
  2. HII YA MAGUFULI...ASIYEWEZA KULIPA APIGE MBIZI inaingia kwenye rekodi


Je je je unakumbuka kauli nyingine kali iliyowahi kutolewa na mawaziri/viongozi ungana nami katika uzi huu
 
1. B. Mramba Waziri--- Ndege ya Raisi Lazima Inunuliwe ikiwezekana hata Wananchi Wale Nyasi..

2. Ben Mkapa Raisi -- Ununuzi wa Migodi kwa Njia Za Ajabu na Watu wana Wivu wa Kijinga!

3. Magufuri -- Pigeni mbizi kama mkiona nauli ni Kubwa

4. Jk-- Huyu naona ajali kitu tumuache kesi zake ni kubwa tuiachie mahakama kuu- Kelele zenu hazinifanyi nishindwe kulala!

5. Mkulo -- Kila mwananchi atabeba Msalaba Wake... Serikali haimo

6...

7...
 
6.Mwantumu Mahiza - Waliomaliza vyuo na kukosa ajira waanzishe miradi ya kufuga kuku inalipa sana.
7.Nape - Tutawashikisha ukuta.

8. Wassira - Mnaulizia mvua kwani nani kawaambia mimi ni waziri wa mvua?


9. OCD Arusha - Wakazi wa Arusha ni mapanya.
 
Jumanne Maghembe "Wazazi wawasomeshe watoto wao" anawaambia watoto wa wakulima wakati kashatoa mikopo kwa watoto wa vigogo!
 
6.Mwantumu Mahiza - Waliomaliza vyuo na kukosa ajira waanzishe miradi ya kufuga kuku inalipa sana.
7.Nape - Tutawashikisha ukuta.

8. Wassira - Mnaulizia mvua kwani nani kawaambia mimi ni waziri wa mvua?


9. OCD Arusha - Wakazi wa Arusha ni mapanya.

Kikwette.... 1.Wanafunzi wanaopata uja uzito wakiwa bado mashuleni ni kiherehere chao.
2. Hii sheria nitaisaini kwasababu nisipofanya hivyo wenzangu hawatanielewa
 
Back
Top Bottom