Kauli za Slaa na mauaji ya raia wasio na hatia

mkuu umewagusa pabaya. cheki wanavyokupotezea this very useful thread. ungesema kikwete hapa ungeona jinsi wangechangamkia. watu waajabu sana hawa. kiukweli huwezi kutenga slaa na mauaji yanayotokea kwenye mikutano ya chadema. je alipowaammbia wakamtoe waliweza? au waliishia muchwari, icu na maodini? fikiri, chukua hatua.

Umeonaa eee!! Unajua imefikia hatua hawa wenzetu wametugeuza watz wote kuwa ni mazuzu na hatuna kumbukumbu za matukio yaliyowahi kujiri.
 
Hicho kibabu kinachoitwa dr.silaha sijui gobole kitakuwa cha kwanza kwa wanasiasa wa Tanzania kutiwa motoni, huwezi kutumia ujinga wa watu ili kujikuza kisiasa and to get away with it, lazima awajibikie moto kwa mauaji ya vijana wasio na hatia unless afanye confession na toba.

Bila watu wajinga chadema isinge pata umaarufu, maana sera zao mbovu zisizotekelezeka na umahili wa viongozi wa chadema katika kujenga hoja hauna nafasi ndani ya jamii ya watu wanao-argue, jamii ya watu wenye uweredi na jamii ya watu wazalendo wenye msimamo wa wanayoyaamini.

Chadema imejizolea vijana wajinga kwa kufuata na kutekeleza ile kauli isemayo "wajinga ndio waliwao" na kuwatumia katika operesheni zao za fujo na shari, matokeo yake vijana hao wanaishia kuuwawa ili watumie mauaji hayo kujengea chuki kati ya wananchi na serikali yetu.


Jamii ya watu kama mimi ambao hatutawaliwi kimawazo wala kifikra ndio tunaweza kuona "udikteta wa magwanda" ila ukikurupuka unaweza kuitupia lawama serikali au jeshi la polisi juu ya vifo vya watanzania wenzetu ambavyo vinasababishwa na magwanda.

Badilika ubadilishe taifa.

Na huwa hawacheleqi kutuita wayz wajinga. Now I understand sababu ya kutuita wajinga.
 
mi siamini kama kijana aliyekamilika anaweza kuandika upumbaavu kama huu lazma atakua anakasoro tuu. mchunguzeni mtaniambia
 
Nilicho kipenda kwako ni style yako ya kutunza kumbukumbu, basi, vingine ni pumba tupu! Mkuu, kwa taarifa yako kwa Arusha, kilicho anza sio viongozi wa CDM kufungwa, kilicho anza ni kuuawa kwa watu 2 then viongozi kadhaa, akiwepo na Dr. Slaa mwenyewe, Ndesambulo, Mbowe Lema n. k then wananchi waka React! haikuwa kauri ya Dr wa ukweli, usipotoshe kumbukumbu za watu, Halafu hebu tukumbushe, hivi Morogoro Dr. alisema nini, maanake naona kama umetoa hoja za jumla jumla tu, in other words kumbe Dr. Slaa ndo aliwaambie polisi wamuue Mwangosi kwa Bomu? so kama Dr. anaweza kusikilizwa na hadi police, kumbe yeye ndo rais wa nchi sasa, au mkuu mi ndio sijakuelewa?

Umejibu kishabiki lakini ukweli unajulikana kuwa baada ya Slaa kuponyoka huku wenzake wakiwa wametiwa ndani alirudi NMC na kuwatangazia wafuasi wake waende polisi kuwatoa viongozi waliokamatwa. Huo ndo ukweli hata kama unababua.
 
Ndugu,

Kumbukumbu? Eti kumbukumbu!
Watu waelewa uwa kwa kawaida wanajitenga na kusema/kufanya/kutenda mambo yasiyo na msingi. Watanzania wa leo ni waelewa na wajuzi wa mambo, hawaambiwi fanya nao wakafanya. Dk. Slaa ni mdemokrasia anayependa watu wasionewe na watafute usawa kwa haki.
Kumbukumbu? Eti kumbukumbu!

Hana hostoria ya ukomavu wa demokrasia ndo maana ameshindwa hata ku-maintain wake wawili na badala yake akatumia ghiliba na hadaa kumwacha Mke mkubwa tena bila ya aibu.
 
Sijui ni kipi hujaelewa hapo bwana mdogo.

Hao viongozi wako ni kawaida yao kukimbia kuwaacha wanachama wao wakapate misukosuko!

Kama mmeshakubaliana kuandamana halafu mtu hatokei huyo anakuwa amekimbia period! Sina neno zuri pengine ulitaka niseme hakutokea ila hawa huwa wanaingia mitini!

Ndio nakuuliza hivi, kama inajulikana kosa ni la Dr.Slaa, na wananchi hawana hatia kama ulivyosema, wanauliwa wa nini? Mbona sikamatwe huyo unayemsema ndio mwenye kosa?
 
Umeonaa eee!! Unajua imefikia hatua hawa wenzetu wametugeuza watz wote kuwa ni mazuzu na hatuna kumbukumbu za matukio yaliyowahi kujiri.

Si kwamba watu wamekimbia hoja, ila hawaioni. Kwa ujinga wenu mnapongezana.

Fujo yoyote iwayo, haitoi justification ya polisi kufanya wanavyofanya. Halafu ni ujinga kusema mbele za watu kuwa ni kauli za Dr.Slaa zinachochea. Ina maana polisi wetu ni vilaza kiasi kwamba Dr.Slaa akisema kauweni wanaenda?

Najua mmetumwa na Nape na Shigela, lkn kazi aliyowapa na kiasi cha ubongo kwenye vichwa vyenu havitafaulu.

Kama kuna mmojawenu ana ubongo angalau kidogo basi anijibu swali langu; KWA NINI MWANGOSI ALIUAWA?
 
Umejibu kishabiki lakini ukweli unajulikana kuwa baada ya Slaa kuponyoka huku wenzake wakiwa wametiwa ndani alirudi NMC na kuwatangazia wafuasi wake waende polisi kuwatoa viongozi waliokamatwa. Huo ndo ukweli hata kama unababua.

Mkuu, si ndio nimekusifia kwa kutunza kumbukumbu vizuri? Nilicho sema kama Dr. Slaa anaweza kuwaamuru wananchi na hata Polisi nini cha kufanya na wakafanya vile vile, basi yeye ndiye rais wa nchi? au we unaonaje hilo mkuu? Tungefanya tu mpango yule aliyepo pale magogoni atoke tu kwasababu hata majeshi hayamtii, hukumbuki mara baada ya mauaji ya Arusha aliwaambia mabalozi kuwa vifo vya jinsi havitatokea tena? mbona vimetokea, ni kwasababu polisi na majeshi mengine hayamtii, please naomba ukabali hilo? Slaa ndiye rais wa nchi!
 
Kuna siku nasikia
walijitokeza FFU walipo simika bendera ya nyekundu na kutoa amri kuna
kiongozi mmoja wa Chadema alitoka baruti huku kavaa magwanda na mwingine
akajificha nyuma ya spika.

Teh teh teh! Hao cdm viongozi wao wana matatizo! nikisema naambiwa sina akili na matusi kibao! kumbe wao wanatimkaga!
 
Kama hawatokei au wanatoweka inakuwaje polisi bado waue wananchi wengine huku wakijua walengwa wao hawapo? La msingi zaidi, ni serikali gani hii inayoacha wahalifu wakubwa kiasi hicho wakiwa huru bila kuwakamata na kuwachukulia hatua kali kwa kusababisha mauaji ya raia wasio na hatia? Yaani matukio yote hayo ya mauaji yanaishia kutolewa kauli za kisiasa tu na blabla katika JF?
 
Ndugu wanajamvi, Leo katika kupitia kumbukumbu zangu, nimekutana na kitu ambacho kimenifanya nitafakari na kuunganisha dots na ku cross ts na kupata jibu juu ya vifo vya watz katika mikutano ya CDM.

Katika pekua yangu nikakutana na Slaa akiwahutubia na kuwataka wananchi waende Polisi kuwatoa viongozi wa CDM waliokuwa wamekamatwa na Polisi wa Arusha kwa kufanya maandamano haramu. Ni kutokana na kauli hiyo, watu wakaelekea kituoni na matokeo yake, watu 2 wakafa.

Lau kama isingekuwa kauli hiyo, nchi isingeshuhudia mauaji hayo.

Kauli nyingine chonganishi, zilizotolewa na huyo Slaa, ni ile ya Moro pamoja na Iringa na matokeo yake yanajulikana. Ni kutokana na ukweli huo, ninadiriki kutamka kwamba Mikono ya Slaa ina damu za watz waliouwawa katka shughuli za CDM na ninaamini kuwa katika umri wake pamoja na historia yake ya kupitia kwenye utumishi wa mungu, anapaswa kutubu na kuomba msamaha kwa mungu wake pamoja na watz kwa ujumla.


Toa kwanza boriti kwenye jicho lako,hapo ndipo utakapoona kibanzi kwenye jicho la mwingine.Polisi kuamriwa kufanya vurugu ruksa,polisi kuua watu wasio na hatia ruksa,viongozi wa vyama vya upinzani kukamatwa na kuswekwa ndani nayo ruksa,ama kweli hii ndo domo kurasa nchini Tanzania
 
viongozi wa cdm wapo lakini kila cku hswaongozi vuguvugu hili tokea mafochoni ulsya kama baafhi ya nchi zingine za africa wakisubiri yatimie nfio waje. so wangekamatwa! hawakamatwi kwa nini ni wazi they are innocent doing what is right. tafuta scholar yeyote wa political economy atakuambia nn kinaikumba tz kwa sasa na kwamba its unstoppsble! wind of change! tz sio kisiwa, angalia kulia kushoto nyums na mbele ya mipaka yetu na pegine mbsli zaidi. tuangalie hojs za akina slaa je keeli au sio kweli??? wasemacho.
 
kikwete, nape, lusinde, nchemba, mkama, mwinyi, mkapa... taja yeyote mwingine, wameshindwa mziki wa cdm je wewe utauweza, jitokeze hadharani usitumie id feki ili upatiwe haki yako
 
Back
Top Bottom