JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
1. "Sisi wachungaji hatuombei kukua kwa uchumi bali tunawaombea wazinzi wanaokamatwa na wake za watu" - Mch. Peter Msigwa.
2. "Tumefika hapa kwa sababu ya UDHAIFU wa Rais Kikwete, uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM" - John John Mnyika.
3. "Ngeleja ana uchungu wa kukosa uwaziri" - Halima Mdee.
4. "This is another SILLY SEASON" - Tundu Lissu.
Ongezea nyingine.
2. "Tumefika hapa kwa sababu ya UDHAIFU wa Rais Kikwete, uzembe wa Bunge na kwa sababu ya upuuzi wa CCM" - John John Mnyika.
3. "Ngeleja ana uchungu wa kukosa uwaziri" - Halima Mdee.
4. "This is another SILLY SEASON" - Tundu Lissu.
Ongezea nyingine.