Kauli za kisiasa zilizowahi kuwaudhi sana Watanzania

Kuna mwingine aliwaitwa wanachama wenzake sisimizi wakahama chama na ikawa mjadala kwenye vyombo vya habari
 
"Chama cha Wananchi (CUF) kisahau kuingia madarakani, labda hadi mwisho wa uhai wangu". - Rais Kikwete akiwa ziarani Zanzibar

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, aliwataka wananchi kuwaua watu wanaowaua maalbino na vikongwe - Pinda alitoa kauli hiyo wakati akiwahutubia wananchi wa Tabora, ambapo alisisitiza kuwa wasisubiri uamuzi wa mahakama kuwaua watu wanaoua maalbino na vikongwe.

RAIS Jakaya Kikwete alipotangaza kutoa ‘msamaha' kwa watuhumiwa wa EPA. Akitangaza hatua ambazo zitaendana na msamaha wake huo, Rais Kikwete aliyapa muda wa miezi miwili kuanzia wakati huo (sawa na siku 72) makampuni yaliyobainika kuiba fedha hizo kutoka katika akaunti hiyo yawe yamezirejesha ili kuepuka kufikishwa mahakamani. (source tzdaima)
 
"Kama mnaona kazi ya ualimu mshahara ni mdogo acheni mkatafute kazi nyingine ya kufanya...Serikali haiwezi kuwabembeleza..." Mkuu na hii ilitolewa na Waziri ghasia dhidi ya walimu waliokuwa wakilalamikia maslahi duni huko Ruvuma mwaka 2009.
 
"Kama mnaona kazi ya ualimu mshahara ni mdogo acheni mkatafute kazi nyingine ya kufanya...Serikali haiwezi kuwabembeleza..." Mkuu na hii ilitolewa na Waziri ghasia dhidi ya walimu waliokuwa wakilalamikia maslahi duni huko Ruvuma mwaka 2009.
Nadhani alikuwa mama Mahiza, NW, Elimu.
 
Kama wewe unajifanya imara zaidi utapigwa tu,tumeshachoka na sasa utapigwa tu!
 
haya si mapenzi ni mahaba!-el

majizi na mafisadi nitalala nayo mbele-jpm

tanzania inahitaji mabadiliko ya kijinsia-anna mghwira
 
Back
Top Bottom