William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi.....nafikiri hiyo statement inafanana na ile iliyotolewa na Mh Pius Msekwa..........
7. "You can Go to Hell"........JS Malecela alipokuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi.........
- Mkuu Ogah, hii kauli Malecela aliitolea wapi maana mpaka leo huwa hatujawahi kuambiwa alipoitolea vipi ukitusaidia alipoitolea na waliomsikia akisema?
Respect.
FMEs!