Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Nimeipenda kauli ya BMW kuwa viongozi wengi wanapenda sifa za kuonekana ktk runinga marakwamara!!
Anasema alisita kidogo baada ya kualikwa ktk jubilee hiyo ya kiongozi wa kiroho huko songea lakini ikambidi afike!
Chanzo itv saa mbili usiku huu!!
Anasema alisita kidogo baada ya kualikwa ktk jubilee hiyo ya kiongozi wa kiroho huko songea lakini ikambidi afike!
Chanzo itv saa mbili usiku huu!!