Mshaurini aisunde tume ifike wakati awawajibishe watendaji wabovu!
Na kweli toka tume zimeanza kuundwa! kila kitu tume, hata kama sababu zinajulikana.
Mshaurini aisunde tume ifike wakati awawajibishe watendaji wabovu!
na bado yasubirini mengi tu.
juzi si mliona mrs wake naye alimaliza
basi kazi kwenu
tena msiwe karibu na misafara yake.
Itakula kwenu kwa saababu anahakikisha kabla hajatolewa anatoa mamia kwanza..
Jamani mwambieni basi aondoke kuna mabomu hayajalipuka bado yanaweza yakamlipukia likatokea balaa juu ya balaa, au anataka tufanye tena uchaguzi wakati kipindi chake hakijaisha???? Mshaurini jamani jamani arudi zake Ikulu maana mengi hayajamalizika kulipuka jana, ohooooooooooooo
Pole sana mkuu, inamaana mpaka sasa hujawapata?Kesho mtarajie Picha kuuuubwa front page Daily News, Mtanzania na Habari leo ikimwonyesha JK akisalimia majeruhi au akizungumza na Majenerali wa Jeshi.
Lengo kuonyesha yuko karibu na wananchi wake.
Hivi kwa nini mabaya huwapata wanyonge tena walio wema huku watesi wakiendelea kutesa??? Kwa nini mabomu yanaiogopa au kuikwepa Ikulu???
Inaniuma kwa sababu nimekesha nawatafuta niece wangu (Kulwa na Dotto) wenye miaka 11. Tumekanyaga kote kuanzia U/taifa, vituo vya polisi, Hospitali ya Amana na Muhimbili lakini hakuna majibu.
Eti leo viongozi wachukue ujiko kwa madhira waliyasababisha wao wenyewe.
mi nadhani bomu moja lijitolee kumuonyesha mfano ilivyokuwa akiwa hapo.....hivi hivi kwa kutembelea hataelewa
Nasikia kaenda huko...sasa sijui ni nini kitafata...
Hapana,ndugu yangu usiende huko kwani karibu wanasiasa wote ni washirikina.
Preta, huoni ndo maana kaenda saa hizi? masaa mangapi yamepita toka tukio litokee? hapo ujue kumefanywa kwanza ukaguzi wa hali ya juu kuhakikisha hakuna madhala, ndo yeye anaenda.
huyu naye si njagu? kwa nini hakwenda usiku ule watia moyo wenzake? maana naamini njia za kujikinga anazijua, kwa hiyo isingekuwa issue kwake
Huyo Jile ameona angetaja shehe yahaya tu asingesikia raha mpaka autaje na uislam ama kweli kazi ipo mijitu mibwabwa utaijua tu............
Si afadhali afe yeye...Jamani mwambieni basi aondoke kuna mabomu hayajalipuka bado yanaweza yakamlipukia likatokea balaa juu ya balaa, au anataka tufanye tena uchaguzi wakati kipindi chake hakijaisha???? Mshaurini jamani jamani arudi zake Ikulu maana mengi hayajamalizika kulipuka jana, ohooooooooooooo