dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source Star Tv
Nimemsikia kiongozi wa UVCCM akidai CDM ni hatari kwa taifa na Nasari katumwa na Dr. Slaa kwani ni kauli yake toka 1995 kuwa wataingia ikulu hata kwa kumwaga Damu.
Najiuliza 1995 Dr. Slaa alikuwa anagombea urais wa nchi gani?
Na wakazidu kwenda mbali kuwa CDM wanawagawa watanzania na wawaogope.
Na wamewataka CCM nchi nzima vijana na wamama waanze maandamni kulaani kauli za CDM .
Tujiandae kuona mukutano ya CCM mikoani kote.
My take:
CDM wamewaamsha CCM na wamepata pa kusemea tuone watafika wapi.
Nafikiri mda huu ulikuwa kuwakamata mafisadi papa ya CCM na kuyatupa sero sasa wanataka kupitisha upepo wapotezee kama kawaida yao Richmond, EPA..........
Nimemsikia kiongozi wa UVCCM akidai CDM ni hatari kwa taifa na Nasari katumwa na Dr. Slaa kwani ni kauli yake toka 1995 kuwa wataingia ikulu hata kwa kumwaga Damu.
Najiuliza 1995 Dr. Slaa alikuwa anagombea urais wa nchi gani?
Na wakazidu kwenda mbali kuwa CDM wanawagawa watanzania na wawaogope.
Na wamewataka CCM nchi nzima vijana na wamama waanze maandamni kulaani kauli za CDM .
Tujiandae kuona mukutano ya CCM mikoani kote.
My take:
CDM wamewaamsha CCM na wamepata pa kusemea tuone watafika wapi.
Nafikiri mda huu ulikuwa kuwakamata mafisadi papa ya CCM na kuyatupa sero sasa wanataka kupitisha upepo wapotezee kama kawaida yao Richmond, EPA..........