mwenzio kaandika hapo juu kwamba kumjadili mnampa ujiko.. hakusema kumjadili kwa mabaya au mazuri....hilo utajaza menyewe bhana! jamaa anapeta na anawalaza hoi CHADEMA...Mbowe hana hamu nayeDuh? Hivi anapata ujiko kusemwa vibaya? Hii nayo kali!
mwenzio kaandika hapo juu kwamba kumjadili mnampa ujiko.. hakusema kumjadili kwa mabaya au mazuri....hilo utajaza menyewe bhana! jamaa anapeta na anawalaza hoi CHADEMA...Mbowe hana hamu nayeDuh? Hivi anapata ujiko kusemwa vibaya? Hii nayo kali!
Mkuu, apate ujiko mara ngapi? mumpe ujiko mara ngapi? mbona mshampa na sasa anapeta nyie ndo mnabaki kupiga kelele zisizo na mashiko tu humu?
What a foolish coment! Hivi hiyo haikuwa habari? Sasa ipi ni habari kwa gazeti. Kusema kwamba chama kikubwa cha upinzani nchini kinafanya kazi kwa msukumo wa mataifa ya nje na sio matakwa ya wananchi ni habari ambayo wananchi wanapaswa kufahamishwa. Anachotakiwa Mwigulu ni kuthibitisha, akishindwa ni aibu kwake na chama chake, akiweza ni aibu kwa cdm. Wananchi tutatoa hukumu. Otherwise ni hatari sana kwa chama kuongozwa kwa remote kutoka mataifa ya nje badala ya wananchi wake!
mwenzio kaandika hapo juu kwamba kumjadili mnampa ujiko.. hakusema kumjadili kwa mabaya au mazuri....hilo utajaza menyewe bhana! jamaa anapeta na anawalaza hoi CHADEMA...Mbowe hana hamu naye
acha kutetea uozo wewe,huyu chemba imekulewesha kwa harufu ya mbaya nini?
Na hili liwe fundisho kwa Mitakataka inayotumia mimasaburi kufikiri ili kuwapendeza Mabwana zake ili iendelee kuwaibia watanzania mali na wake zao.Itakuwa vizuri people have to take accountability for their words,watu wanaropoka 2 inabidi watu wafundishwe nidhamu ya kuongea,
Hoja yako ni ipi hapa? au ndo ushabiki tu? huwa nashukuru mungu UAMSHO na CHADEMA hawapatani tu,, ama sivyo nchi isingetawalikaacha kutetea uozo wewe,huyu chemba imekulewesha kwa harufu ya mbaya nini?
What a foolish coment! Hivi hiyo haikuwa habari? Sasa ipi ni habari kwa gazeti. Kusema kwamba chama kikubwa cha upinzani nchini kinafanya kazi kwa msukumo wa mataifa ya nje na sio matakwa ya wananchi ni habari ambayo wananchi wanapaswa kufahamishwa. Anachotakiwa Mwigulu ni kuthibitisha, akishindwa ni aibu kwake na chama chake, akiweza ni aibu kwa cdm. Wananchi tutatoa hukumu. Otherwise ni hatari sana kwa chama kuongozwa kwa remote kutoka mataifa ya nje badala ya wananchi wake!
Ana akili lakini hazitumii. Mpumbavu ni mtu ambaye hajui na hajui kwamba hajui. na ndivyo alivyo Nchemba, aka CHEMBA. Amesoma shule akapasi mitihani lakini hakuelimika na hajui kuwa shule haikumsaidia kuelimika. What a waste!!Mpumbavu ana akili?
Hoja yako ni ipi hapa? au ndo ushabiki tu? huwa nashukuru mungu UAMSHO na CHADEMA hawapatani tu,, ama sivyo nchi isingetawalika
Itakuwa vizuri people have to take accountability for their words,watu wanaropoka 2 inabidi watu wafundishwe nidhamu ya kuongea,
Hapo ndipo mnaponimaliza kabisa watu wa jinsi yako. Kuna watu humu wanaandika matusi kabisa, sijakuona useme lolote. Hebu ona kama huyu hapa ameandika hivikoffie pinga hoja kwa hoja acha kupinga kishabiki ..
Huyu dogo nadhani siyo nchemba bali chemba tena ya kinyesi. Nitafuatilia yawezekana hata kwa maana ya kwao waliompa jina ni chemba la choo.
Mwigulu ni wale vijana Malimbukeni. Sijui lini ushamba utamtoka. Eti "SPESHO" Nikapata A nikasoma Masters nikapata A ptuuuuuu my Foot. Huyu dogo ni bonge la mshamba
Swadakta!! mpashe mbangubangu huyo. Kufeli kwake hakutuhusu siye. Elimu haina mwisho anaweza kurudi darasaniWivu tu, huna lolote. Shida yako umefeli la saba mara 3, na hicho cheti chako cha form 4 ni QT. Kunywa sumu waache watu na nondo zao. Ptuuuuu na wewe.