Mimi nang'atuka lakini nitaendelea kuamini kuwa bila CCM mathubuti nchi itayumba" Kauli ya Mwalimu J.k.Nyerere aliitoa Mwaka 1990 mjini Dodoma.Hata hivyo pamoja na yote haya ina maana CCM kushindwa katika uchaguzi mdogo Arumeru Mashariki ni dalili ya CCM kuyumba au nini, maana nchi ninaiona iko tulivu na shughuli zinaendelea ingawa wanaowania Urais nadni ya Chama cha magamba wanataka kutuyumbisha,.