Mwacheni tu atukane maana anajua M4C inakuja pia Tabora, na hawezi kupona.
Tupende tusipende jimbo la Tabora mjini 2015 lazima liende upinzani, sioni mahali ambapo Aden Rage anaweza kuponyoka kutokana na harakati za kisiasa zinazoendeshwa kwa kasi na Chadema kanda ya kati kwa sasa.
Hawa jamaa wa CHADEMA wamejipanga na kudhamiria kisawasawa kuyachukua majimbo kadhaa ya mkoani Tabora(Tabora mjini,Nzega,Igunga,Bukene,Sikonge).
Kama Aden Rage ni mjanja ninamshauri achunge sana mdomo wake kwa sasa, ama awaulize Dr. Kafumu na Dr.Kingwangwala ambao vifo vya ubunge wao ndani ya CCM viko wazi na dhahiri, asijifanye hajui akili za wanyamwezi zikoje, asubiri tu muda ufike moto umwakie.
Wahenga walisema ''Usitukane wakunga na uzazi ungalipo''.
Tupende tusipende jimbo la Tabora mjini 2015 lazima liende upinzani, sioni mahali ambapo Aden Rage anaweza kuponyoka kutokana na harakati za kisiasa zinazoendeshwa kwa kasi na Chadema kanda ya kati kwa sasa.
Hawa jamaa wa CHADEMA wamejipanga na kudhamiria kisawasawa kuyachukua majimbo kadhaa ya mkoani Tabora(Tabora mjini,Nzega,Igunga,Bukene,Sikonge).
Kama Aden Rage ni mjanja ninamshauri achunge sana mdomo wake kwa sasa, ama awaulize Dr. Kafumu na Dr.Kingwangwala ambao vifo vya ubunge wao ndani ya CCM viko wazi na dhahiri, asijifanye hajui akili za wanyamwezi zikoje, asubiri tu muda ufike moto umwakie.
Wahenga walisema ''Usitukane wakunga na uzazi ungalipo''.