Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

hivi kwanini watanzania hatuna uzalendo wa kuheshimu watanzania wenye asili nyingine??hakuna nchi duniani inayoendelea na wazawa peke yake ndio maana toka zamani wakulima na wafugaji walikuwa wanahama hama ili kutafuta maendeleo,sasa mimi naona itungwe sheria mtu yeyote atayemwambia mtu wewe sio raia wa tanzania bila uthibitisho alipe faini au apewe kifungo kwani hiyo iko mpaka mitaani watanzania wenye asili mbalimbali wanapata shida ya kutukanwa kuwa siyo watanzania kwa kuwa tu rangi yao ipo tofauti.

Sawa kwani kwao kama kuzuri wanafuata nini huku? Halafu jamani hata wasomali Rage, Kinana? Na kwa nini CCM tu??
 
506587519.jpg

Arudi kwao ndugu zake wamuhitaji.
 

Attachments

  • 405612_145182682261926_100003105857573_195171_58556132_n.jpg
    405612_145182682261926_100003105857573_195171_58556132_n.jpg
    13.5 KB · Views: 55
msingwa ndio yule alihoji kwanini zanzabar mwezi wa ramadhan watu hawali mchana ..? kama ni yeye .. rage haja kosea...
 
Kwa hili la kutamka neno fool si jambo jema na halifai hasa kwa mtu ambaye ni mwakilishi wa wananchi,mbaya zaidi wakati huu anafunga,hivi anaelewekaje katika jamii na wanadini wenzie?
Kwa hili amepotoka na yafaa amrudie Mungu
 
umenishtusha sana unaposema ulikuwa unamuona Rage a.k.a Alshabab ni mtu wa maana! kwa lipi? si aliwahi kufungwa kwa kuiba pesa ya FAT?? akatishia watu kwa pistol kwenye kampeni Igunga sasa anafyonza pesa za klabu yetu ya simba amekula hata rambirambi ya marehemu mafisango? huyu anatakiwa arudishwe kwao nawashangaa sana watu wa tabora kuongozwa na msomali jangili hata kama mnaipenda ccm hakuna mbantu mwenzenu? acheni kutuletea aibu tunakumbuka na kuheshimu sana mchango wa mtemi Mirambo kwenye ukombozi wa taifa hili, msimuangushe hivo!!

mkuu, tatizo wanyamwezi wanapenda sana kuongozwa na watu weupe. mwarabu kawaachia legacy mbaya sana. ni basi tu lunyasi chama langu lkn huyu alshaabab hamna kitu kabisa.
 
huyu jamaa uwezo wake wa kuelewa unatia mashaka na unashangaa Tabora walifikiria nini kumfanya mwakilishi wao.

Mfuatilie michango yake na utakubaliana nami. Labda kwa vile brother wake alisoma na JK ndicho kilimsaidia.

Hapo kwenye red, nimemuona juzi ITV akisema kuwa wamepata Euro 700,000 kwa kumuuza Emmanuel Okwi ambazo wangezitumia kuendeleza uwanja wao huko Bunju na mshangao wangu ni kumuona Okwi akirejea Bongo!!

Uko sahihi, Okwi yupo Bongo! Sijui atawaelezaje wanachama wa Simba. msubiri tu utaona kuwa busara zake ni questionable.
 
I like such comments, because it expresses how are you. Unajua kujieleza sana mara nyingi kuna mawili. (1) waweza kujieleza ukaonesha umahiri wako katika mawazo, lakini pia pili yake, the other way round can also be true.
 
I like such comments, because it expresses how are you. Unajua kujieleza sana mara nyingi kuna mawili. (1) waweza kujieleza ukaonesha umahiri wako katika mawazo, lakini pia pili yake, the other way round can also be true.

Vp hakuna mbunge aliyeomba muongozo kwa kauli hiyo? By the way Rage si mtu wa maana kabisa
 
Vp hakuna mbunge aliyeomba muongozo kwa kauli hiyo? By the way Rage si mtu wa maana kabisa
Naomba uondoe dhana kuwa wabunge wote wana busara. Hii inathibitishwa na hoja wanazo toa wakiwa bungeni, ambazo kwa bahati mbaya sana TBC wanarusha LIVE, bila kuchuja, na kwa kufanya hivyo, waweza kuona mawazo ambayo jamii inayakubali kama ya busara, na ya upande wa pili vilevile.
 
mkuu, tatizo wanyamwezi wanapenda sana kuongozwa na watu weupe. mwarabu kawaachia legacy mbaya sana. ni basi tu lunyasi chama langu lkn huyu alshaabab hamna kitu kabisa.

Wewe utakuwa UnatoDog.
 
Mh. Aden Rage,
Mheshimiwa wakati unachangia hotuba ya upinzani, umepotoka kwa kumuita mwenzako (Mchungaji Msigwa) a fool!! Nilikuwa nakuona kama mtu wa maana kumbe hauko hivyo. Uko kwenye mfungo mtukufu unamwita mwenzako mpumbavu ( a fool) . Lugha kama hiyo kwa mtu aliyefunga kwa maungamo, haifai. Fungua tu, wala hutapata thawabu. Lugha kama hiyo haifai toka kinywani mwako. Kumbe ndio maana Simba haisongi mbele kama hekima yako ndio hiyo.

....mwandishi kwanza umekosea kumuita mheshimiwa huyu jamaa,kwanza si mtanzania alafu akili yake ilivurugika wakati amefungwa, yeye ndo fool
 
Rage alishawahi kutumikia kifungo kwa sababu ya wizi. Wahenga walishawahi kunena: Mwizi ni mwizi tuu, hawezi kuwa muungwana.Hii alikuja kuidhihirisha tena pale alipopanda na bastola kwenye jukwaa la mkutano wa kampeni kule Igunga. Once a thief, always a thief.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom