Wana JF,
Juzi wakati Katibu mkuu kiongozi akimrudisha Jairo kazini alimalizia kwa kusema kuwa sasa serikali inajikita kumtafuta aliyetoa barua kwa wabunge na kumtaka Jairo afungue kesi ya kudhalilishwa kwa waliomsema (kwa fikira zangu mama Shelukindo). Kwa maoni yangu ni kuwa Luhanjo anamtishia mtoa taarifa.
Ninakumbuka wakati wa kupitishwa kwa sheria mpya ya kupambana na kuzuia rushwa, hili suala la kumlinda mtoa taarifa lilizungumzwa sana. Je, Shera zetu zinasemaje kuhusu usalama wa mtoa taarifa? Je kauli ya Luhanjo si kosa la jinai?
Naomba maelezo toka kwa wanasheria, na wale wote wanaochukia ufisadi.
Juzi wakati Katibu mkuu kiongozi akimrudisha Jairo kazini alimalizia kwa kusema kuwa sasa serikali inajikita kumtafuta aliyetoa barua kwa wabunge na kumtaka Jairo afungue kesi ya kudhalilishwa kwa waliomsema (kwa fikira zangu mama Shelukindo). Kwa maoni yangu ni kuwa Luhanjo anamtishia mtoa taarifa.
Ninakumbuka wakati wa kupitishwa kwa sheria mpya ya kupambana na kuzuia rushwa, hili suala la kumlinda mtoa taarifa lilizungumzwa sana. Je, Shera zetu zinasemaje kuhusu usalama wa mtoa taarifa? Je kauli ya Luhanjo si kosa la jinai?
Naomba maelezo toka kwa wanasheria, na wale wote wanaochukia ufisadi.