Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,236
Cuf (ccm-b) bara watangaze rasmi kwa umma kuikana cuf (ccm-b) visiwani kuwa hawana ushirika nao na wachague viongozi wao wapya wakifanya haya tutawaonea huruma kidogo tunajua wananjaa tu cuf hawana uwezo wala sifa ya kutetea watz kwani walisha kosa sifa ya kuwa wapinzani kwa kuamua kuwa taaisis ya kiislamu kwa ajili ya matakwa ya kiislamu............