eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
CUF wa bara acheni roho mbaya kuwakana wenzenu wa Zanzibar kwa kuwa nyie wamoja na mnatawala sehemu ya Tanzania.... Nyie komaeni kuwapa shavu CCM watawapeni bakshishi hata kidogo mkatulizie koo..kuliko kuhangaika na Dr. Slaa wakati yeye sio mbunge yuko pembeni kama nyie tuu... Halfu yeye chama cha upinzani nyi watawala... Kama vipi mshutueni makamu wa kwanza pale Mhe amweke ndani huyu bwana fulani na chama fulani ckae....
FORZA CHADEMA
FORZA CHADEMA