Tundu Lissu alisema kuwa Chadema hawako tayari kufanya siasa za majitaka; na kwamba Watanzania hawako katika kujadili mambo hayo, kama hali ya afya za wagombea, ambao baadhi wanadaiwa kuwa na virusi vya ukimwi kiasi cha kubadili damu kila baada ya miezi, na kwamba kwa sababu ya unyonge huo, baadhi yao waanguka mara kadhaa jukwaani.
Mimi nina wasi wasi na huyu Josephine, hajatumwa kweli na CCM kumwangamiza Dr. Slaa maana jibu lake nimeona limekuwa rahisi mno. Eti 'kutokuonana na mumewe kwa miaka mitatu basi ndio kibari cha yeye kuolewa" huyu dada sidhani kama kweli, hayo ni maoni yangu tu na si ya mtu mwingine, maana huyo mumewe anadai mpaka march mwaka huu walikuwa pamoja na ndipo alipoanza kuonesha hali ya kutokuwa mwaminifu. Hivyo kama kutoonana ni kuanzia april mwaka huu.
Dr. Slaa akipata pingamizi lolote kwa kugombea urais wa kubebeshwa lawama ni hawa wawili ndugu zangu watanzania, Josephine na huyu anayejiita mumewe.
josephine amesemaje sasa kuhusu tuhuma hizi
sijaona katika taarifa hii
Ishu hii haipo ktk kanuni ya kumwekea pingamizi mgombea.Mimi nina wasi wasi na huyu Josephine, hajatumwa kweli na CCM kumwangamiza Dr. Slaa maana jibu lake nimeona limekuwa rahisi mno. Eti 'kutokuonana na mumewe kwa miaka mitatu basi ndio kibari cha yeye kuolewa" huyu dada sidhani kama kweli, hayo ni maoni yangu tu na si ya mtu mwingine, maana huyo mumewe anadai mpaka march mwaka huu walikuwa pamoja na ndipo alipoanza kuonesha hali ya kutokuwa mwaminifu. Hivyo kama kutoonana ni kuanzia april mwaka huu.
Dr. Slaa akipata pingamizi lolote kwa kugombea urais wa kubebeshwa lawama ni hawa wawili ndugu zangu watanzania, Josephine na huyu anayejiita mumewe.
Mgonjwa wa ukimwi huwa anaanguka? Hii symptom ni mpya kabisa ya ugonjwa wa ukimwi.
Karibu kila Mtanzania amewahi kuwa na ndugu mwenye ukimwi na dalili zao zinajulikana. Hii ya kwamba mtu anabadilishiwa damu kila mara na ndio maana anaanguka nafikiri ni kijembe kisicho na fact kabisa.
Ukimwi ni ugonjwa unaodhoofisha kinga za mwili.
Mosi. kinga zikiwa hafifu unaweza pata aina yeyote ya ugonjwa pamoja na kuishiwa nguvu sasa ukiishiwa nguvu unajua nini kinatokea.
Pili. Dawa za kurefusha maisha nyingi zina athari mbali mbali pamoja na presha kupanda au kushuka
tatu. dawa za kurefusha maisha pamoja na ugonjwa vinaweza sababisha matatizo mengine ya afya, haswa dalili au hali ya kifafa, kuweweseka nk. Yote haya yanategemea muda na uwingi wa virus.
Kumbuka ndugu zetu wengi wanakufa bila kufikia misukosuko mingi ya ugonjwa huu sababu ya umasikini, lishe, na ukosefu wa dawa na vipimo thabiti.
Mimi nina wasi wasi na huyu Josephine, hajatumwa kweli na CCM kumwangamiza Dr. Slaa maana jibu lake nimeona limekuwa rahisi mno. Eti 'kutokuonana na mumewe kwa miaka mitatu basi ndio kibari cha yeye kuolewa" huyu dada sidhani kama kweli, hayo ni maoni yangu tu na si ya mtu mwingine, maana huyo mumewe anadai mpaka march mwaka huu walikuwa pamoja na ndipo alipoanza kuonesha hali ya kutokuwa mwaminifu. Hivyo kama kutoonana ni kuanzia april mwaka huu.
Dr. Slaa akipata pingamizi lolote kwa kugombea urais wa kubebeshwa lawama ni hawa wawili ndugu zangu watanzania, Josephine na huyu anayejiita mumewe.
Mimi nina wasi wasi na huyu Josephine, hajatumwa kweli na CCM kumwangamiza Dr. Slaa maana jibu lake nimeona limekuwa rahisi mno. Eti 'kutokuonana na mumewe kwa miaka mitatu basi ndio kibari cha yeye kuolewa" huyu dada sidhani kama kweli, hayo ni maoni yangu tu na si ya mtu mwingine, maana huyo mumewe anadai mpaka march mwaka huu walikuwa pamoja na ndipo alipoanza kuonesha hali ya kutokuwa mwaminifu. Hivyo kama kutoonana ni kuanzia april mwaka huu.
Dr. Slaa akipata pingamizi lolote kwa kugombea urais wa kubebeshwa lawama ni hawa wawili ndugu zangu watanzania, Josephine na huyu anayejiita mumewe.
Mtaibua na kubukua sheria zote ,ila kwa hili mkuu hatoki ,labda wamuonee huruma ,jingine ni aibu kwa kiongozi wa Chama kubaka wanawake tena wanaoonyesha kuwepo kwa undoa ,yaani haiingii akilini kabisa ,kwa mheshimiwa kama Slaa kuvaa mwananmke ambae data zake zina utata ,na sasa ndio analipa price.Kamnda unajua sheria ya Ndoa ya 1971 inasemaje kwa wanandoa waliotengana kwa zaidi ya miaka 2?
Mtaibua na kubukua sheria zote ,ila kwa hili mkuu hatoki ,labda wamuonee huruma ,jingine ni aibu kwa kiongozi wa Chama kubaka wanawake tena wanaoonyesha kuwepo kwa undoa ,yaani haiingii akilini kabisa ,kwa mheshimiwa kama Slaa kuvaa mwananmke ambae data zake zina utata ,na sasa ndio analipa price.
Mtaibua na kubukua sheria zote ,ila kwa hili mkuu hatoki ,labda wamuonee huruma ,jingine ni aibu kwa kiongozi wa Chama kubaka wanawake tena wanaoonyesha kuwepo kwa undoa ,yaani haiingii akilini kabisa ,kwa mheshimiwa kama Slaa kuvaa mwananmke ambae data zake zina utata ,na sasa ndio analipa price.
nimeambiwa huyu kasomea sheria (hasa za masuali ya dini yake) hivi hizo sheria kwa nn kaamua kuzivunja baada ya kuzifuata ?
Mkuu, umetembelea kule kwenye thread ya: KIKWETE: IN Black and White?
Hoja hizo zikiibuliwa na vyama vyote, nani atakayesimama? Dont be surprised kuwa hata hii siyo issue kama ilivyokuzwa.